Hii tabia nimeacha

Hii tabia nimeacha

Attachments

  • 1404808427023.jpg
    1404808427023.jpg
    20.4 KB · Views: 115
Sielewi inakuwaje una mzigo km huo halafu wife hajui. Huyo mke namshangaa sana. Mke anatakiwa kujua kila kona ya nyumba yake. Mume mara nyingi ndo hajui vitu vilipo. Ht ukificha hela chini ya mto anaoulalia kila siku hatagundua, labda km umezificha nyumbani chini ya ardhi
 
Nilikuwa nawaza la kukujibu, lakini niliposoma ID yako nikagundua una haki ya kuandika thread ya hivi!
Ngoja niwaite Ntuzu Simiyu Yetu ama Evelyn Salt waje watusaidie tafsiri ya jina/ ID yako!
 
Last edited by a moderator:
Sielewi inakuwaje una mzigo km huo halafu wife hajui. Huyo mke namshangaa sana. Mke anatakiwa kujua kila kona ya nyumba yake. Mume mara nyingi ndo hajui vitu vilipo. Ht ukificha hela chini ya mto anaoulalia kila siku hatagundua, labda km umezificha nyumbani chini ya ardhi

Zipo darini ila huwa nazichek kila baada ya mwezi, namdanganya kuna shot ya umeme naangalia
 
Chemsha unywe maji yake ni dawa ya kuongeza nguvu za kiume.
 
Daaah,
Hii nayo ni kali;
Zitoe ukatupe hukooo,
Jua kuna kufa ghafla,
utaacha watu wakuweke kwenye vitabu vyao vya kumbukumbu.
 
Kuna duka moja liko njiani (highway) nilienda watu wametundika vyupi na kofia kama kumbukumbu kwa wasafiri wanaokula pale. So we zitundike sebulen kwako huku ukizilebo majina iwe memory

Hahahahahahaha!!!!!!
 
zipo darini ila huwa nazichek kila baada ya mwezi, namdanganya kuna shot ya umeme naangalia

naona wewe hajauoa bado na kama ingekuwa hivyo basi ushazichoma tayari. Nakushauri tafuta muda mwafaka zichome kuna siku utakuja juta. Utarudi kwenye mihangaiko yako mkeo kaziweka sebuleni sijui utamwambia nini.
 
Wana jamvi habarini,

Jamani mwenzenu kuna katabia nimekuwa nacho kwa muda mrefu sasa NIMEKAACHA.

Nilipokuwa na mahusiano na wadada nilijikuta natamani kubaki na chu*p zao, si ikawa tabia jamani! unaambiwa nikisha 'mla' demu nitamng'ang'ania aniachie pichu yake mpaka ananiachia.

Mimi nazificha kwenye sanduku langu la shule, sasa siku zimeendaaa mwenzenu hizi nguo zimekuwa nyingi sana kwa sasa ninazo pichu 36 za rangi na ukubwa tofauti.

Kati ya yao, 12 waligoma katakata kuacha hizo kofuli zao na wawili hawakuwa wamevaa yaani nilikereka sana, nilichokuwa naamini ni kuwa akiacha pichu siku ya pili sitatumia nguvu sana kumfanya arudi tena, na nilikuwa nafanikiwa.

Sasa, swali ni hivi, nizipeleke wapiiii maana nshakuwa mtu mzima na waifu hata hajui kama nina mzigo wa mitumba na spesho nimeuficha? au niwarudishie hao walioziacha?

Japo wengi sasa wameolewa? au nianzishe kaduka niuze nirudishe japo zile hela za soda na juice walizokuwa wanapata kabla ya mchezo pale getho enzi hizo?

Kama kuna mmojawapo humu, aseme tuu ili kurahisisha hili zoezi la 'operation rudisha pichu'
Mpe zawadi mkeo...musapraizi siku akiwa hospitali umpelekee kwa bedi umwambie ni zawadi yake katika kipindi hiki kigumu! kuhusu kuumwa muwekee kasumu kidogo ambako hakawezi kumuua kwa fudi kisha mupekeke hospitali na umpelekee hiyo jifti wakati akiwa kwa bedi na dripu plazi oksijen containa..! hapo kajifti lazima kanoge..!
 
Back
Top Bottom