SHIEKA
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,240
- 4,270
Mwache! Hajaielewa hiyo picha. Alifikiri huyo mdada anachungulia kwenye simu ya huyo mkaka!kivipi?
Mwache! Hajaielewa hiyo picha. Alifikiri huyo mdada anachungulia kwenye simu ya huyo mkaka!kivipi?
Kalitaka iphone nikakanunulia apple, kakataka outing nikakatoa nje............
Dah! huyu binti yaonekana anapenda sana pesa.
Kakatafuna kisha nikakatafuna.....kakapigwa upepo nikakaimbia......
Mie huwa nakabiziwa wallet nijichukulie kulingana na mahitaji yangu.....:banghead:
Kweli...??
Mie huwa nakabiziwa wallet nijichukulie kulingana na mahitaji yangu.....:banghead:
Akili yako itakuwa nzuri,kuna wengine vichaa,hawapaswi kukabiziwa
njoo uchukue siku ukitaka....Ndio.Na wewe siku moja nikabidhi....