hekimatele
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 9,889
- 2,799
Hiyo huwa inapigwa na wembe na mma na sabuni chini ya mwembe mwana.
Wale wazee vinyozi wa zamani waliokuwa wanapiga kazi chini ya miembe ni noooomaaaaa.
Mzee hakukati wala nini. Anakutoa dongo la maana.
Ila wembe sasa walikuwa wana hifadhi for future use.
Maambukizi nje nje mwana.
Umenikumbusha longiiiii
Wale wazee vinyozi wa zamani waliokuwa wanapiga kazi chini ya miembe ni noooomaaaaa.
Mzee hakukati wala nini. Anakutoa dongo la maana.
Ila wembe sasa walikuwa wana hifadhi for future use.
Maambukizi nje nje mwana.
Umenikumbusha longiiiii