Hii style inaitwaje huko kwenu?

Hii style inaitwaje huko kwenu?

Hiyo huwa inapigwa na wembe na mma na sabuni chini ya mwembe mwana.
Wale wazee vinyozi wa zamani waliokuwa wanapiga kazi chini ya miembe ni noooomaaaaa.
Mzee hakukati wala nini. Anakutoa dongo la maana.
Ila wembe sasa walikuwa wana hifadhi for future use.
Maambukizi nje nje mwana.
Umenikumbusha longiiiii
 
Hiyo huwa inapigwa na wembe na mma na sabuni chini ya mwembe mwana.
Wale wazee vinyozi wa zamani waliokuwa wanapiga kazi chini ya miembe ni noooomaaaaa.
Mzee hakukati wala nini. Anakutoa dongo la maana.
Ila wembe sasa walikuwa wana hifadhi for future use.
Maambukizi nje nje mwana.
Umenikumbusha longiiiii

Kwa wenyeji wa Mkoa wa Kagera, ilikuwa baada ya mazishi ndugu wote wanapigwa kitu hii...sasa kwa kuwa wembe ulikuwa unarotate kwa watu zaidi ya 20 hii ilisababisha maambukizi makubwa sana ya Ukimwi...unknowingly au misinformed watu wanadhani ilikuwa ni sababu ya uzinzi but the fact ni hiyo
 
Hiyo huwa inapigwa na wembe na mma na sabuni chini ya mwembe mwana.
Wale wazee vinyozi wa zamani waliokuwa wanapiga kazi chini ya miembe ni noooomaaaaa.
Mzee hakukati wala nini. Anakutoa dongo la maana.
Ila wembe sasa walikuwa wana hifadhi for future use.
Maambukizi nje nje mwana.
Umenikumbusha longiiiii


hahaha kweli mkuu!
 
Kwa wenyeji wa Mkoa wa Kagera, ilikuwa baada ya mazishi ndugu wote wanapigwa kitu hii...sasa kwa kuwa wembe ulikuwa unarotate kwa watu zaidi ya 20 hii ilisababisha maambukizi makubwa sana ya Ukimwi...unknowingly au misinformed watu wanadhani ilikuwa ni sababu ya uzinzi but the fact ni hiyo


alaa kumbe...
 
Back
Top Bottom