kanali mstaafu
JF-Expert Member
- May 17, 2015
- 4,319
- 4,089
Naona tu whatsapp status za watu (hasa mabinti) wana-upload picha za watu kadhaa na kuandka caption ya "twenzetu 2018".
.Unapowataja watu kadhaa kumbuka kuna wengine hutawataja watajiona unawabagua
. Pili unapotaja watu wachache uende nao 2018 je wengine unataka wafe 2017 wasifike 2018?
Tuweni makini na kila tunayoyatenda kila siku kwani kitu kidogo kinaweza kukuletea matokeo tofaut sana mpka ukajiuliza kuna mkono wa mtu kumbe ni slogan zako tu za kibaguzi
.Unapowataja watu kadhaa kumbuka kuna wengine hutawataja watajiona unawabagua
. Pili unapotaja watu wachache uende nao 2018 je wengine unataka wafe 2017 wasifike 2018?
Tuweni makini na kila tunayoyatenda kila siku kwani kitu kidogo kinaweza kukuletea matokeo tofaut sana mpka ukajiuliza kuna mkono wa mtu kumbe ni slogan zako tu za kibaguzi