Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
ndio utie akili......
ndani ya miezi minne unatangaza ndoa......
nani alikwambia huwa tunataka kuolewa haraka haraka.....
au mnadhani huwa na sisi hatuhitaji kuwachunguza.....
next time usirudie......ni kosa kubwa sana kushobokea ndoa mapema.....
pole lakini.....itapita utazoea....ndio maisha......
kweli dear, akajipange asirudie makosa. Tena sio kutangaza ndoa tu, hata kuvalishana yale mapete ya uchumba ni no no no no.....