Hii siyo Fair Dada zangu tutakuja kuuana.

GAZETI

JF-Expert Member
Feb 24, 2011
5,277
6,673
Ukweli ni jambo muhimu ambalo litanusuru mambo mengi, kwa siku kadhaa nimekuwa nikimfuatilia dada fulani ambaye kanihakikishia kuwa yuko free, si hivyo tu pia kanihakikishia kuwa yuko tayari kuwa na mimi. Nimejipanga kadri ya uwezo wangu kupeleka barua ndo ananiambia kuwa samahani nimechumbiwa. Baada ya kuchunguza nimegundua ni kweli kachumbiwa na jamaa mmoja ambaye anaishi Dubai toka mwaka jana mwezi wa nne. Huu sio ustaarabu bora kuwa wawazi, ndani ya miezi minne niko na matumaini kumbe najivunia garasa. SI TABIA NZURI kuweni wazi, ona sasa wiki nzima sina raha nashindwa hata kufanya kazi zangu kwa ufanisi.
 
Yeah man! Yani its about time mtu kushout out! Yani sijui wanakuwa hawana uhakika na wanataka more options? Au unakuta wameudhiwa na wanaatempt kulipiza? Kweli dada zetu acheni kabisa kucheza hii sick game!
 
Yeah man! Yani its about time mtu kushout out! Yani sijui wanakuwa hawana uhakika na wanataka more options? Ua unakuta wameudhiwa na wanaatempt kulipiza? Kweli dada zetu acheni kabisa kucheza hii sick game!
It goes both ways. . .
Au ndo hufahamu kua wapo wanaume wanaoacha mke na watoto nyumbani alafu wanaenda kudanganya vibinti.kua wanataka ndoa nao? We mwenyewe uliachia moyo kwa rafiki. . .WHY?
 
ndio utie akili......
ndani ya miezi minne unatangaza ndoa......
nani alikwambia huwa tunataka kuolewa haraka haraka.....
au mnadhani huwa na sisi hatuhitaji kuwachunguza.....
next time usirudie......ni kosa kubwa sana kushobokea ndoa mapema.....
pole lakini.....itapita utazoea....ndio maisha......
 
ndio utie akili......
ndani ya miezi minne unatangaza ndoa......
nani alikwambia huwa tunataka kuolewa haraka haraka.....
au mnadhani huwa na sisi hatuhitaji kuwachunguza.....
next time usirudie......ni kosa kubwa sana kushobokea ndoa mapema.....
pole lakini.....itapita utazoea....ndio maisha......

Preta, unamaanisha kuwa miezi minne ni michache. Kwa upeo wangu
kama umeshindwa kufanya Investigation ndani ya miezi 4 hata miaka
miwili huwezi pia.
 
Naomba mnisamehe nashindwa kureply kwa wakati kwani
huku niliko NETWORK ya Airtel inasumbua. Lakinini niko pamoja
nanyi katika huu wakati ambao naona umekuwa mgumu ajabu!
 
It goes both ways. . .
Au ndo hufahamu kua wapo wanaume wanaoacha mke na watoto nyumbani alafu wanaenda kudanganya vibinti.kua wanataka ndoa nao? We mwenyewe uliachia moyo kwa rafiki. . .WHY?

Ni kweli it goes bothways ila wewe unamaanisha tulifumbie hili jambo macho kwa sababu hiyo? kamwe! huko kwingine mtu atakujaanzisha thread tusubiri, sasa hivi tulijadili lililoko mezani.
BTW kama umesoma story yangu toka mwanzo sikudanganya na hao wasichana wawili wanajuana, na kila mtu anajua position yake na ya mwenzie in my life!
 
Ni kweli it goes bothways ila wewe unamaanisha tulifumbie hili jambo macho kwa sababu hiyo? kamwe! huko kwingine mtu atakujaanzisha thread tusubiri, sasa hivi tulijadili lililoko mezani.
BTW kama umesoma story yangu toka mwanzo sikudanganya na hao wasichana wawili wanajuana, na kila mtu anajua position yake na ya mwenzie in my life!
The point is, acha kukandia mmoja as if yeye pekee ndie anaehusika kwenye maswala kama hayo.

Hehehe. .
Kila mmoja angekua anajua huyu ambae ndo unamuita mchumba asingejua juzi juzi tu(source thread yako ya vipi akurudishe moyoni) kwamba ulifall kwa rafikiyo. Angekua anajua tangu unaanza kufall hivyo na wewe ndio wale wale. Anza kujirekebisha kabla ya kukandia wengine.
 
Preta, unamaanisha kuwa miezi minne ni michache. Kwa upeo wangu
kama umeshindwa kufanya Investigation ndani ya miezi 4 hata miaka
miwili huwezi pia.

Pole sana mkuu,ila kama unaona miezi minne ni mingi basi usishangae kwa lililokukuta. Yaani miezi minne tu halafu unaenda kuchumbia???!!!kazi ipo....kumbe ndio maana hizi ndoa hazidumu.
Bado nimepigwa na butwaa ina maana ndani ya miezi minne umeshamjua vizuri sana na mmeshatumia muda mwingi pamoja hata kulala nae kwa siku kadhaa ujue mkilala na kuamka pamoja inakuaje duuuhhh aiseeee mie nimepitwa na wakati mwenzenu.
 
ungetaka kumega tu isingekuwa issue (pamoja na kwamba tayari ana mchumba) ila na wewe ulipoonyesha seriousness ya kwenda kwenye next level akaona uta-complicate mambo..
 
The point is, acha kukandia mmoja as if yeye pekee ndie anaehusika kwenye maswala kama hayo.

Hehehe. .
Kila mmoja angekua anajua huyu ambae ndo unamuita mchumba asingejua juzi juzi tu(source thread yako ya vipi akurudishe moyoni) kwamba ulifall kwa rafikiyo. Angekua anajua tangu unaanza kufall hivyo na wewe ndio wale wale. Anza kujirekebisha kabla ya kukandia wengine.

Lizzy mpenzi umeamkaje? Hebu nitupie huo uzi naona ulinipita maana naona unampiga marungu mtu hapa....lol
 
The point is, acha kukandia mmoja as if yeye pekee ndie anaehusika kwenye maswala kama hayo.

Hehehe. .
Kila mmoja angekua anajua huyu ambae ndo unamuita mchumba asingejua juzi juzi tu(source thread yako ya vipi akurudishe moyoni) kwamba ulifall kwa rafikiyo. Angekua anajua tangu unaanza kufall hivyo na wewe ndio wale wale. Anza kujirekebisha kabla ya kukandia wengine.

Mbona wewe mgumu wa kuelewa na mwepesi wa kusahau?
Nasema hata kama it goes both ways, HATUTOLIFUMBIA MACHO HILI LA UPANDE MMOJA. kama wewe unaona upande wa pili nako kuna shida-ANZISHA THREAD YAKO, HATUNA KINYONGO TUTACHANGIA...mwenyewe si unajua mtu anaona kwake vizuri zaidi?

About me: ingekuwa vyema ukaelewa, KAMA UNGEJUA KILA MTU ALIWAZALO JUU YAKO, YOU WOULDN'T WITHSTAND LIFE.
 
Ndani ya miezi 4 unapeleka barua! Ningekuwa mimi ningekukatalia hata kama sina mchumba.
 
Mbona wewe mgumu wa kuelewa na mwepesi wa kusahau?
Nasema hata kama it goes both ways, HATUTOLIFUMBIA MACHO HILI LA UPANDE MMOJA. kama wewe unaona upande wa pili nako kuna shida-ANZISHA THREAD YAKO, HATUNA KINYONGO TUTACHANGIA...mwenyewe si unajua mtu anaona kwake vizuri zaidi?

About me: ingekuwa vyema ukaelewa, KAMA UNGEJUA KILA MTU ALIWAZALO JUU YAKO, YOU WOULDN'T WITHSTAND LIFE.
Siona haja ya kufanya hivyo kwasababu sio mhanga. . .Ila nashangaa mtu kama wewe ambae ni wa upande wa pili, ambae ameshashiriki kuingiza wadada wawili chaka akikandia mwenzie kana kwamba yeye ni msafi sana.

Hehehe. . .I personally au unaongelea generally? Binafsi kwa namna ambavyo nipo straight na watu wengine. . . hamna kinachoweza kunifanya nishindwe kukabiliana na maisha kisa mawazo ya watu wengine juu yangu.
 
Back
Top Bottom