LiFe 2-point-0
JF-Expert Member
- Mar 22, 2024
- 4,253
- 11,621
Aahh mnajipa kazi sana. Sasa yoote haya ya kazi gani!?
Mbinu ya kukutajirisha? Hivi balada mawazo yako yawe kwenye kutengeneza pesa mwanaume una waza joto? Walah safar n ndefu sana
Kwahiyo tunakomoana na nyie mnatudanga 😹😹😹Yani babu akingia kwa bibi utaongea maneno yote sio mwanaume unakua wa baridi
Mwanangu wew🤣Mbinu ya kukutajirisha? Hivi balada mawazo yako yawe kwenye kutengeneza pesa mwanaume una waza joto? Walah safar n ndefu sana