Hii Serikali kama Huna PhD waafa

Hii Serikali kama Huna PhD waafa

NJALI

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2014
Posts
1,534
Reaction score
1,091
Mimi nimekuwa nikifuatilia teuzi nyingi za RAIS wetu, wengi ni ama Ma Profesa au Ma Dokta!!!. Wenye CV ya ndugu ni wachache sana hasa nafasi nyeti za NCHI.

Tukianzia baraza la mawaziri, Makatibu Wakuu, Wakurugenzi WA mashirika ya umma, Wenyeviti wa bodi za mashirika!!!.

Tunao waona ni wale alio waacha waliteuliwa na JK!!! Akiteua Yeye anaweka ama Prof au Dr!!! Tizama NSSF mwenyekiti WA bodi ni Prof,

Wasomi wetu kuwatumia hatukatai ila achanganye, HATA kwenye Research Stratified sampling inasisitizwa sana itumike ili kupata mawazo tofauti tofauti. Mh. anaamini Prof, Dr yuko sahihi kwa Kila jambo alitendalo, Kumbe Kuna ma Prof hata familia zinawashinda kuendesha!!! Je ukimpa wizara ataiweza?!!!

Pia Suala la dini, uwiano kati ya waislamu na wakristo hauko sawa!!! Mimi mkristo naitwa Thomas, sijaridhishwa na teuzi za Mh. katika misingi ya Ku balance dini.

Jinsia pia, Mh. emeegemea sana me kuliko ke, Japo dini na jinsia sio chanzo cha ufanisi WA KAZI ila kisipo zingatiwa huibua manung'uniko upande unao onewa yaani gender grievances .

Haya ninayoongea ni mawazo yangu na ka ELIMU uchwara ka HAPA na pale, nisije zolewa na cyber crime Act kwa uchochezi, nisamehewe kwa ELIMU yangu ndogo. Unajua ukiwa na ELIMU ndogo huna tofauti na mtoto mdogo katika kuheshimika katika jamii na heshima ki ujumla.
 
Tumefika hapa tulipo kwa sababu ya "kubalance" eti na jamii ile tuwape ili wasinung'unike, matokeo tumeyaona! Sasa ni wakati wa PhD na Prof., huna kaa kushoto.
 
Punguzeni kulialia
Mlikua mnaimba kwa mbwembwe
Sijui nini na nn mbele kwa mbele
Hatunywi sumu hatujinyongi .....mbele kwa mbele....
 
He he prof na Dk akienda sana kanali sijui nani huko
 
Ila yeye mwenyewe anawasifia sana akina nd. Makonda, nd. Hapi, nd. Gambo n.k
 
awamu hii ya panga pangua, sina hamu na hizo nafasi za upendeleo hata ningekuwa na huo u- Dr au Prof,
hata aweke waume watupu
hata aweke wakristu wote
mie ndo kwanza niko bize na kilimo maana nimeambiwa nikitaka mali nitayapa shambani na sio ofisini
 
Hivi Sendeka ana uProf wa kitu gani vile? Naomba kukumbushwa.
 
Sio kwa nafasi zote mbona wakuu wa wilaya na mikoa ni mabrazamen na masistadu waandishi wa habari na makada wa ccm kama Ole Sendeka na kina Gambo?
 
I think the president, in tz, is not concerned with a person's religion when appointing, but a person's academic profile matters to that effect...

Religion is not, if I should say, a factor which affects tz's governmental decisions. for administrative purposes. The tz's government is within a secular state. Not like Saudia etc...
 
Mambo mengine si lazima kuyafuata ....sasa kama hawana sifa hawafai haina haja ya kuwa nao,,,mbona sisi hatujalalamika enzi zile....
 
I think the president, in tz, is not concerned with a person's religion when appointing, but a person's academic profile matters to that effect...

Religion is not, if I should say, a factor which affects tz's governmental decisions. for administrative purposes. The tz's government is within a secular state. Not like Saudia etc...
Tell us a bit, why do you think on every nominees appointed by the head office the number of Christians exceed the number of Muslims?
 
Kuanzia Leo mimi ni profesa. ..Dr. ..jenerali. ..kanali. ..kimeloki lazima niteuliwe wallah. ..
 
Mimi nimekuwa nikifuatilia teuzi nyingi za RAIS wetu, wengi ni ama Ma Profesa au Ma Dokta!!!. Wenye CV ya ndugu ni wachache sana hasa nafasi nyeti za NCHI.

Tukianzia baraza la mawaziri, Makatibu Wakuu, Wakurugenzi WA mashirika ya umma, Wenyeviti wa bodi za mashirika!!!.

Tunao waona ni wale alio waacha waliteuliwa na JK!!! Akiteua Yeye anaweka ama Prof au Dr!!! Tizama NSSF mwenyekiti WA bodi ni Prof,

Wasomi wetu kuwatumia hatukatai ila achanganye, HATA kwenye Research Stratified sampling inasisitizwa sana itumike ili kupata mawazo tofauti tofauti. Mh. anaamini Prof, Dr yuko sahihi kwa Kila jambo alitendalo, Kumbe Kuna ma Prof hata familia zinawashinda kuendesha!!! Je ukimpa wizara ataiweza?!!!

Pia Suala la dini, uwiano kati ya waislamu na wakristo hauko sawa!!! Mimi mkristo naitwa Thomas, sijaridhishwa na teuzi za Mh. katika misingi ya Ku balance dini.

Jinsia pia, Mh. emeegemea sana me kuliko ke, Japo dini na jinsia sio chanzo cha ufanisi WA KAZI ila kisipo zingatiwa huibua manung'uniko upande unao onewa yaani gender grievances .

Haya ninayoongea ni mawazo yangu na ka ELIMU uchwara ka HAPA na pale, nisije zolewa na cyber crime Act kwa uchochezi, nisamehewe kwa ELIMU yangu ndogo. Unajua ukiwa na ELIMU ndogo huna tofauti na mtoto mdogo katika kuheshimika katika jamii na heshima ki ujumla.
Wewe ni kichaa. Uislam na ukristu hauendeshi nchi bali watu wenye uwezo sahihi. Wawe waislam au wakristu au hata wasio na upande au dini. Acheni chokochoko za kipuuzi. Mpeni mudda afanye kazi na atekeleze ahadi zake.
 
Nilipata hisia uzi huu usingefika mbali kabla mambo ya u-dini hayajaingizwa.

Fikra mufilisi kabisa.
 
Boss kwa hizi phd zetu wala usishtuke maana unapataje phd mtu kasoma from A'level to phd bila kuajiriwa wala kuifanyia kazi fani yake nthen anakuja kuajiriwa sasahivi unategemea ana uzoefu gani huyo??Nimekosa mimi nimekosa sana.
 
Waswas na hizo phd maana mpka saiv sion matunda
 
Back
Top Bottom