CCM na usawa wapi kwa wapi?
kubishana nawe nikupoteza muda. Shida yako huelewi tofaut ya ziara ya serikal na ziara ya chama.We kama si mjinga basi tatizo lako kamuone Dk Milembe Huyo aliyerejesha Kadi ungetaka airejeshe kwako ama mtoni?? Hapo ndo mahali pake. Hata viongozi wa chama chako wanatembea na kupokea Kadi za vyama vingine wakitumia pesa za ruzuku inayotolewa kwa kila chama chenye wabunge Bungeni ambayo inatokana na Kodi za Wooooote. Tatizo lenu cdm kila kitu mnafikiri mnaonewa.....Acha hizo za kueneza chuki bila kufikilia mara mbili kama hujui mambo unauliza
chaustani kadi ya chama gani hiyo?
We kama si mjinga basi tatizo lako kamuone Dk Milembe Huyo aliyerejesha Kadi ungetaka airejeshe kwako ama mtoni?? Hapo ndo mahali pake. Hata viongozi wa chama chako wanatembea na kupokea Kadi za vyama vingine wakitumia pesa za ruzuku inayotolewa kwa kila chama chenye wabunge Bungeni ambayo inatokana na Kodi za Wooooote. Tatizo lenu cdm kila kitu mnafikiri mnaonewa.....Acha hizo za kueneza chuki bila kufikilia mara mbili kama hujui mambo unauliza
Hapa nimejisikia nitie maguu kidogo, ikiwa dhamira yangu ni kuwapeni wosia kwa uchache.
Imenilazimu baada ya kuuona mtiririsho wa uzi hauendi kiungwana.
Wawe CCM , CDM , NCCR , CUF , Mimi wote mimi nawapenda na nnawaheshimu kwa itikadi ya vyama vyenu.
Na kwa upande mwingine nawapeni POLE kwa mahaba yenu kwa vyama vya siasa.
Nawaasa jadilianeni kwa busara na hekima, na jadilianeni bila jazba, mizuka, na mijitusi.
Hapo hapo kuna sheikh wa mkoa yaani hapa sasa ndio sielewi kabisaa, maasikofu nao wako upande gani hapo? Siasa+Dini+Utawala= Misuse of Resources.
We kama si mjinga basi tatizo lako kamuone Dk Milembe Huyo aliyerejesha Kadi ungetaka airejeshe kwako ama mtoni?? Hapo ndo mahali pake. Hata viongozi wa chama chako wanatembea na kupokea Kadi za vyama vingine wakitumia pesa za ruzuku inayotolewa kwa kila chama chenye wabunge Bungeni ambayo inatokana na Kodi za Wooooote. Tatizo lenu cdm kila kitu mnafikiri mnaonewa.....Acha hizo za kueneza chuki bila kufikilia mara mbili kama hujui mambo unauliza