Idhae
JF-Expert Member
- Aug 6, 2014
- 609
- 277
Nina rafiki yangu ambaye tumeshibana sana. Lakini anapenda sana kumletea zawadi kwa siri mchumba wangu na baada ya hapo mchumba wangu ananishirikisha, na ananihakikishia kwamba hajawahi ombwa papuchi na hata akiomba hatamkubalia.
Pia mchumba wangu ananisihi sana nisije kumuuliza rafiki yangu juu ya hizo zawadi ili yeye asiwe chanzo cha kutugombanisha.
BAADHI YA ZAWADI ALIZOWAHI KUMLETE.
Viatu, cheni, wallet, vocha za mara kwa mara, nguo za nje na ndani, na simu aina ya huawei y330.
Sasa najiuliza kuna usalama kweli hapo? Kwanini rafiki yangu ampe mchumba wangu zawadi tena kwa siri?
Na kwanini mchumba wangu ananishirikisha?
Pia mchumba wangu ananisihi sana nisije kumuuliza rafiki yangu juu ya hizo zawadi ili yeye asiwe chanzo cha kutugombanisha.
BAADHI YA ZAWADI ALIZOWAHI KUMLETE.
Viatu, cheni, wallet, vocha za mara kwa mara, nguo za nje na ndani, na simu aina ya huawei y330.
Sasa najiuliza kuna usalama kweli hapo? Kwanini rafiki yangu ampe mchumba wangu zawadi tena kwa siri?
Na kwanini mchumba wangu ananishirikisha?