Hii sasa imepitiliza jamani....

Hii sasa imepitiliza jamani....

Mbalamwezi1

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2013
Posts
2,073
Reaction score
2,026
Hivi jamani😳mtu amekupigia cmu unamwambia nipo hosp yf amelazwa na mtoto anaumwa pia,anakwambia pole then anakata simu!kisha baada ya muda mfupi anakusms eti"nakumbushia ule mchango wa harusi" mtu kama huyu unamchukuliaje na unamjibu nini jamani😳
 
Hivi jamani😳mtu amekupigia cmu unamwambia nipo hosp yf amelazwa na mtoto anaumwa pia,anakwambia pole then anakata simu!kisha baada ya muda mfupi anakusms eti"nakumbushia ule mchango wa harusi" mtu kama huyu unamchukuliaje na unamjibu nini jamani😳

anastahili tusi moja kali afu jipya. ##@%&##%?()&
 
Binafsi nakerwa sana na hii michango ya siku hizi,imekua ya lazima badala ya hiari!
 
Aah, unampa mchango kama kawaida inakuwa swadaqa, Hiyo Swadaka ndo itamponyesha mtoto !!! The mater of hrs. Mnarudi nyumbani buheri..!
 
Hivi jamani😳mtu amekupigia cmu unamwambia nipo hosp yf amelazwa na mtoto anaumwa pia,anakwambia pole then anakata simu!kisha baada ya muda mfupi anakusms eti"nakumbushia ule mchango wa harusi" mtu kama huyu unamchukuliaje na unamjibu nini jamani😳

Aiseee ana ujasiri huyo hafai msikitini wala kanisani.
 
Shiiit.... Umenikumbusha nadaiwa 100k mwisho wa mwezi huu.
 
Halafu ukute wife wako huyohuyo jamaa alichangia harusi yenu handsomely utakomaje...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom