Jimmy De Lite
JF-Expert Member
- Jun 10, 2019
- 635
- 2,305
Hawa vijana wa kings music ya King kiba wametoa ngoma Kali inaitwa Rhumba,Vijana wana uwezo mkubwa sana ila naona wamekosa promo kutoka kwa boss wao.
Alikiba jaribu kufanya mziki kisasa uwa-brand Hao vijana,wana onekana wana uwezo mkubwa na wanaweza fika mbali sana.
Alikiba jaribu kufanya mziki kisasa uwa-brand Hao vijana,wana onekana wana uwezo mkubwa na wanaweza fika mbali sana.