Hii picha ya Halima Mdee unaitafsiri vipi?

Hii picha ya Halima Mdee unaitafsiri vipi?

Halima alikuwa na 'personal friendship'na Hayati? Naona kama alikuwa ameguswa Sana
Hakuonesha chuki yeyote kulinganisha na 'wapinzani ' wengine..hata kama aliwahi kaa rumande Kwa kesi zisizo kuwa na kichwa wala miguu..

Hii picha unaitafsiri vipi?View attachment 1760960
Unajua ameingiaje bungeni? Kwa nini asiubusu mti uliompa matunda!?
 
..maigizo yote haya ya halima ni kutokana na yeye na genge lake la covid-19 kuachwa wakaingia bungeni..hakuna sababu yoyote Ile...huyu na genge lake Kama jiwe angetaka kuwatosa wangetoswa..hata Kama ndugai angewakubali....
 
usitake kujumuisha watu kwa kujiwekea mfano wewe...kama wewe uliguswa na kifo chake basi jisemee wewe na si kujumuisha wote....
Tuma salamu kwa watu watano usisahau na wimbo wa kusindikiza mchana wao.
 
Tuma salamu kwa watu watano usisahau na wimbo wa kusindikiza mchana wao.
Tuma salamu kwa watu watano usisahau na wimbo wa kusindikiza mchana wao.
Salamu zangu za furaha ziende kwa ndugu na jamaa popote walipo ndani na nje ya nchi kwa furaha hii naomba na wimbo wa NIMEUONA MKONO WAKE BWANA ulioimbwa na zabron singers uwaburudishe wote ktk kipindi hiki cha furaha
 
Back
Top Bottom