Hii picha ya Halima Mdee unaitafsiri vipi?

Hii picha ya Halima Mdee unaitafsiri vipi?

Kitendo Cha halima kukanyaga katiba ya nchi haukubaliki kamwe...
 
Halima alikuwa na 'personal friendship'na Hayati? Naona kama alikuwa ameguswa Sana
Hakuonesha chuki yeyote kulinganisha na 'wapinzani ' wengine..hata kama aliwahi kaa rumande Kwa kesi zisizo kuwa na kichwa wala miguu..

Hii picha unaitafsiri vipi?View attachment 1760960
Je, unazijua tabia za Akiba ( Binafsi ) kabisa za huyu anayebusiwa nae hasa kwa Watu wa Jinsia ya akina Halima Mdee?
 
Halima alikuwa na 'personal friendship'na Hayati? Naona kama alikuwa ameguswa Sana
Hakuonesha chuki yeyote kulinganisha na 'wapinzani ' wengine..hata kama aliwahi kaa rumande Kwa kesi zisizo kuwa na kichwa wala miguu..

Hii picha unaitafsiri vipi?View attachment 1760960
Huyu sio Halima.
Huyu ni dokii wa efm
 
Inawezekana kabisa unajua Hawa wabunge achana na kelele zao bungeni Ila huwa ni washikaji Sana aisee

Sana like mwigulu na lissu huwezi amini ndo wanapigana spana ungewakuta pale..... Dodoma

So inawezekana kabisa walkua ni watu Wana matani yao kitamboooo
 
Hiyo kitaalamu tunaita "KISS OF DEATH" yani ni sawa na kupigwa busu na boomslang au black mamba.
 
Halima alikuwa na 'personal friendship'na Hayati? Naona kama alikuwa ameguswa Sana
Hakuonesha chuki yeyote kulinganisha na 'wapinzani ' wengine..hata kama aliwahi kaa rumande Kwa kesi zisizo kuwa na kichwa wala miguu..

Hii picha unaitafsiri vipi?View attachment 1760960
Kweli nimeamini Pesa/Hela/Mtonyo/Mshiko inaweza kubadilisha kila kitu

Imeshindwa kifo tu !!!
 
Halima alikuwa na 'personal friendship'na Hayati? Naona kama alikuwa ameguswa Sana
Hakuonesha chuki yeyote kulinganisha na 'wapinzani ' wengine..hata kama aliwahi kaa rumande Kwa kesi zisizo kuwa na kichwa wala miguu..

Hii picha unaitafsiri vipi?View attachment 1760960
Kwa mtu mpenda maendeleo ya Tanzania na mpinzani wa kweli, huwezi kutoka enzi JPM! Hata Samia amejifunza the hard way kwa speech ya jana. Kuna watu wawili ambao hadi sasa hata vizazi vijavyo hawatawasahau ni Nyerere na JPM. Halima naona si mpinzani uchwara kama Lissu ila anapinga kwa nia ya kupigania maendeleo ya kweli ya nchi iitwayo Tanzania.
 
Back
Top Bottom