nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,769
aisee yaani bado tunachukua misaada ya MABEBERU,wanaosapoti ushoga,si tulikataa kushiriana nao hawa majaaa jamani?mbaya zaidi ni kutoka ujerumani ,nchi ambayo mzalendo Musiba alitutaarifu kwamba inasomesha magaidi ya chadema kupitia kwa balozi wake aliyepo hapa nchini
INASIKITISHA SANA,NIMESONONEKA.hata ambulance tunapewa na mabeberu wakati chi tajiri hii tena donor country?
INASIKITISHA SANA,NIMESONONEKA.hata ambulance tunapewa na mabeberu wakati chi tajiri hii tena donor country?