Vizee viroho vya madaraka, vipiga dili vyenye uchu wa kuendelea kufuja raslimali za taifa. Mafisi ambao wapo tayari kuukana utu wao ili mradi utumbo wao ushibe!
Hawajawahi kujiuliza kwanini majina ya watu kama Gandhi, Mama Theresa, Mandela yanawndelea kusikika japo wenye majina hayo tulishawazika kitambo!
Haya Mafisi wawili hawajawahi kuangalia nyuma na kujiuliza siku wakifa watakumbukwa kwa jambo gani hasa!
Aibu yenu nyie vizee ambao kwenu mmewatengeneza wafuasi kama Membe, Mbowe, Zitto, nk.
Muda si mrefu nature itachukua nafasi yake and no body will ever remember your existance!