MTK
JF-Expert Member
- Apr 19, 2012
- 8,920
- 6,858
Wanawaza kuona CCM wanayoijua imebadilika ghafulale, ni kiminyio kwa sana, Wa NEC 230 OUT!!
Huyu jamaa wa mbele kulia anaitwaga nani?
wanatamani wamrukie wamuume
we miss chagga wewe utanifanya nije kwenu kuchekea huko.ha ahaha![]()
![]()
![]()
we miss chagga wewe utanifanya nije kwenu kuchekea huko.
upweke umerindimaNuru imefifia!
Mke wa mzee wa kutabasam sijamuona na yeye ni mneck wa nguvu.Nasikia neck imepunguzwa by half,so wengi hapo watakuwa si wajumbe tena,lazima watahayari tu
Ccm imara na bado inaendelea kung'araaa.....
wanatamani wamrukie wamuume
Angaria=angalia tukienzi kiswahili chetuAcheni angaria ccm imekufanyia nini wew
wamejiuliza ila wanashindwa kuulizaNdio mana mkutano ulifanyikia ikulu, hawakujiuliza
Anaitwa mtenga alikuwa katibu ccm mkoa wa iringa lkn kwa sasa ametupwa pwani!Huyu jamaa wa mbele kulia anaitwaga nani?
Wengi humo wana sura za kifisadi. Yaani ni kama hawaamini jinsi mwenyekiti wao anavyabana access ya hela za kifisadi. Namba inasomeka tuu.