Hii Picha Ina Tafsri Gani??

juhm-mnyika1.jpg

Aliyekuwa Mgombea ubunge jimbo la Ubungo kupitia Chama cha Mapinduzi, Hawa Ngh'umbi akimshika kifuani kusikiliza mapigo ya moyo Mbunge wa Jimbo hilo, John Mnyika kabla ya hukumu ya kupinga ushindi wake kusomwa na jaji katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam jana. Source: Mwananchi
Jamni JJ una kifua kizurii!!! Naomba baada ya hukumu nikakilalie ili niondoe stress, manake laah, roho inandunda!
 
juhm-mnyika1.jpg

Aliyekuwa Mgombea ubunge jimbo la Ubungo kupitia Chama cha Mapinduzi, Hawa Ngh’umbi akimshika kifuani kusikiliza mapigo ya moyo Mbunge wa Jimbo hilo, John Mnyika kabla ya hukumu ya kupinga ushindi wake kusomwa na jaji katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam jana. Source: Mwananchi

- Vipi presha
- Mnyika una mchumba?
 
Wagombanao ndio wapatanao! Huyu Mama kiukweli hana bifu na Dogo Janja! Hii kesi ni vijimambo tu!!Hata waheshimiwa Majaji walishaliona hilo ndo maana wakawekwa pamoja! Nia ni kuondokana na uhasama baada ya kilio cha mkosaji kusikika! Utaona hata hao Waheshimiwa Majaji hawakutoa kibano kwa aliefungua kesi akashindwa kuthibitisha madai alipe gharamaza kesi hiyo! Demokrasia ina gharama zake! Sisi wadau tusichochee bifu ziendelee! Tuijenge Ubungo sasa!Maslahi ya Nchi kwanza! Bora hata hao wamemalizia dukuduku zao kwenye vyombo vya Haki kuliko wale wanaokwenda maporini kuwaumiza na wasiohusika! Gharama zake huwa ni kubwa zaidi! Kila jambo ni Shule muhimu kwa yajayo!!!
 
Back
Top Bottom