Hii picha imenifikirisha sana

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
10,736
Reaction score
34,103
Huyu wa kushoto amekaribishwa na huyu wa kulia katika nchi yake bila shurti ya maelekezo ya kufuata utamaduni wake na itikadi yake na baada ya muda atafanya maandamano kushinikiza tamaduni yake ifatwe ingawa yupo ugenini na kwa bahati yake nzuri atasikilizwa.

ILA,

Huyu wa kulia akienda kwenye nchi ya ya huyu kwanza hawezi kukaribishwa akiwa yuko hivi lakini pia hata pata uhuru wa kuendeleza utamaduni na itikadi aliyoacha nyumbani na akifanya maandaamno kuimiza ifatwe tamaaduni yake anajua atakochafanywa🤣




ALL IN ALL TUHESHIMIANE KWA TOFAUTI YA TAMADUNI ZETU MAANA TUMEUMBWA KUTEGEMEANA, HII NDIO ASILI YA UNIVERSE KIUJUMLA ILA ITIKADI ZETU ZINATUPOTOSHA.
 
Ahsante kwa taarifa ya kufikirisha, ngoja wataalamu wa hio sekta waje.
 
mafikirio yako yapo bias
btw kutoa mawazo yako sio kosa
 
Kuna ukweli wa kutosha sana.Wasiopenda ukweli watabadilisha ionekane unawaonea au umewaza tu kana kwamba hawajawahi kuona yakitokea.Kuukataa ukweli ambao unatokea kila iitwayo leo ni UNAFIKI na kuikana nafsi kwa bei rahisi.
 
hapo ukiambiwa chagua mamaako katika hao utachagua yupi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…