Kweli nimeamini kuna wa kina droooooobo wengi sana. Kwa hiyo umeona shinyanga mzima ni Mwana dada kubeba pipa akiwa kwenye baskel? Haya ni maendeleo kule nchi zilizoendelea ni kitu cha kawaida sana kufanya kazi lakini kwako umeshangaa kwa kuwa wewe kula kwa mama ndiyo sababu. Viroba hoyeee.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.