Black BackUp
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 685
- 622
Habari
hii ndoto imenitisha kidogo
usiku kuamkia Leo nimeota nimeua/nimekill jamaa ukimtizama ni ana bonge la bodi yaan mwili mkubwa then nikamkata kidole gumba nikakifukia mahali alafu mwili nikaufungia kwenye kwenye chumba flani kirefu..... Baada kama siku kadhaa mtaani hapakaliki harufu cha ajabu sikumwambia mtu yeyote lakin polisi walipofika watu wakawaambia kwamba mimi ndo nimeua...
hii ndoto imekaaje wazee au Just a dream!
hii ndoto imenitisha kidogo
usiku kuamkia Leo nimeota nimeua/nimekill jamaa ukimtizama ni ana bonge la bodi yaan mwili mkubwa then nikamkata kidole gumba nikakifukia mahali alafu mwili nikaufungia kwenye kwenye chumba flani kirefu..... Baada kama siku kadhaa mtaani hapakaliki harufu cha ajabu sikumwambia mtu yeyote lakin polisi walipofika watu wakawaambia kwamba mimi ndo nimeua...
hii ndoto imekaaje wazee au Just a dream!