Hii ni too much au ni ushamba wangu?

Hii ni too much au ni ushamba wangu?

Na uajuza wangu huu siolewi tena ....teh teh. Kazi wanayo wasiooa na wasioolewa na wanaotegemea michango ndio waoe? Kwani lazima sherehe? Kafungeni ndoa mrudi nyumbani kuleni pilau na soda. Hata laki tano haifiki.
mtu nitakayemchangia ni ndugu yangu wa damu tu.
Undungu ni kufaana na sio kufanana hujui atakaekuzika, kesho ni ndugu wa damu au lah
 
Undungu ni kufaana na sio kufanana hujui atakaekuzika, kesho ni ndugu wa damu au lah
Kufaana kwenye sherehe tu? Watu wanaumwa wanahitaji matibabu lakini kuchangiana ni shida. Watoto wanakosa ada za shule hatuchangiani. Nikihitaji mtaji laki 5 nifungue genge hakuna atakayenielewa nikipitisha mchango. msinizike..hata jiji litanizika.
 
Kufaana kwenye sherehe tu? Watu wanaumwa wanahitaji matibabu lakini kuchangiana ni shida. Watoto wanakosa ada za shule hatuchangiani. Nikihitaji mtaji laki 5 nifungue genge hakuna atakayenielewa nikipitisha mchango. msinizike..hata jiji litanizika.
Sherehe ni moja kati ya matukio muhimu pia katika maisha ya binadamu ni celebration watu wanakutana na kukonga mioyo haina maana isipewe kipaumbele eti kwa vile kuna matukio kama misiba au vifo hapana Tutengeneze usawa katika kufanya mambo
 
Sherehe ni moja kati ya matukio muhimu pia katika maisha ya binadamu ni celebration watu wanakutana na kukonga mioyo haina maana isipewe kipaumbele eti kwa vile kuna matukio kama misiba au vifo hapana Tutengeneze usawa katika kufanya mambo
Huo usawa mimi ndio ninaouhitaji. Imagine mtu anabatiza mtoto au anabariki mtoto. Analeta kadi ya mchango. Na kwenye jamii zetu unakuta una kadi kama tano za ubarikio zinazofanyika siku moja...bado za harusi na sendoff. Kwa mwezi unaweza ukawa na michango hata minne au mitano.

Hapo bado una majukumu yako binafsi hayaendi kwasababu huna hela. Unashindwa hata kujiwekea akiba kwasababu ya hii michango.

Nasubiri siku tutakayoanza kuchangia na mambo ya msingi ndio hapo nitaanza kusapoti hii michango.
Kweli sitaruhusu hii michango inipe headache kama vile nadaiwa fees ya mtoto shule. Never!

Na si kwamba huwa sitoi kabisa..naangalia uzito wa mtu aliyeniletea kadi..pia kama hela ipo. Kama hela hakuna hata uwe nani kweli sijiumizi kichwa. Nikakope ili nitoe mchango? Aibu
 
Nadhani kuwa muwazi tu kwao kwa upole na ninajua wataelewa hakuna haja ya kuji-stress juu ya hilo!
 
Ila hapa ni kazini mkuu,
Ingekuwa mtaani INGEKUWA rahisi kuescape mkuu.
INAELEKEA UNA MAAMUZI UNAJITESA ILIHALI UNAJIJUA ULIVYO KWANINI USITOE KWANI UMEKUWA MCHANGO WA MISIBA
WEWE WAAAMBIE KUWA HUNA HELA UNA MAMABO YAKO BINAFSI ASIKULAZIMISHE MTU KUTOA WAKATI NI HIARI BESTITO
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom