Haaa haaa haaa,yani mie huwa siishi hamu kusikiliza na kuona lol!
Yule jamaa waliompa lile tangazo wala hawakukosea nahic hata aliifunika vibaya na script yenyewe maana zile mbwembwe sizan km zipo kwenye script!
Ananivunjaga mbavu atapotaka mwanafunzi aongee kingereza wakati yy mwalimu kinampa wakati mgumu lol!
Yule ni komedian mzuri sijui kwa nini akina Masanja hawakumjumuisha kwenye kundi lao..Hii ni square root....square root...eeeh... Katavi kagonge kengele bana lol.
Ukitaka kuzima kompyuta yako unaenda mahali pameandikwa shut down...unaclick pale, utaona kompyuta yako inageuka rangi na inakuwa ya blue......
Kwanza staili yake ya kuvaa miwani alafu akiangalia anaangalizia kwa juu!Ahahahaaah!! yule jamaa ana mbwembwe aisee, nadhani kama ni mwalimu wanafunzi huwa hawasinzii darasani kutokana na vituko vyake...
Kwanza staili yake ya kuvaa miwani alafu akiangalia anaangalizia kwa juu!
Namna tua navyogeuka kwa mbwembwe na kuelekeza ubaon lol!
Hata km mwanafunzi alikesha jana yake usingizi hauji japo haelewi chochote zaidi ya vituko vya mwalimu!
Haaa haaaa haaaa!Angekuwa mwalimu wangu, nadhani angekuwa ananifukuza katika kipindi chake maana ningekuwa nakufa mbavu nikimuona tu..
Ni kweli asee, anaweza kuigiza mpaka raha... Huba....tusaidie!!...Yule ni komedian mzuri sijui kwa nini akina Masanja hawakumjumuisha kwenye kundi lao..