Hii ni Sera ya Mabenki au BOT?

Hii ni Sera ya Mabenki au BOT?

Kuhoji iyo ni sawa na kuhoji service chaji ya Tanesco wakati kwenye simu au king'amuz hamna.
 
Kuhoji iyo ni sawa na kuhoji service chaji ya Tanesco wakati kwenye simu au king'amuz hamna.
Kaka Jambazi kila jambo na wakati wake! Leo tunajadili kuhusu "Loan Processing fee" inayotozwa na mabenki yetu hapa Tanzania.
 
Yes hii ndio Tanzania mpya kwani hatupaswi kufumba macho sasa kiongozi tunaye tena JEMBE naam pia kwa wastaafu mwaka huu naona wanalalamila kwani watu wametumikia miaka 60 kazini halafu unamwambia pesa yako sisi tunakulipa kuanzia mwaka 2000 halafu miaka ya nyuma HAZINA itakulipa hiviiiii kweliiiii... ..
 
Sio bank zote zinazofanya jambo hilo na what I know inategemea na kiasi cha pesa unachokopa,,na hata hao wanaofanya hivo ni kwamba ile pesa unayoeka ikitokea siku unaacha kukopa na umemaliza mkopo huwa unarudishiwa pesa uliyoweka mwanzo,yaani wanataka kujua kama una uwezo wa kulipa
 
Mhe: Magufuli kama hawa wazee wetu wanateseka itakuwaje kwa upande wetu hapo baadae halafu wengine wanaumwa moyo kisukari wanalalamila wanasumbuliwa na PSSF.. Jamani shirika lenu zuri halafu mnaanza kulitia DOA la RUSHWA ...TUNAOMBA C.E.O wa shirika hilo awaweke kikao wafanyakazi jamani kwani hawa wastaafu ni wazee halafu hawapaswi kusumbuliwa kwani wengine wamemaliza miaka ya 2012 wamelipwa CASH sasa hawa wa 2015 VIPI TENA..
 
Ngoja tuwekane wazi hapa, unapokopa unakatwa gharama za kuprocess huo mkopo, mfano afisa atahitaji kufika kwa mwajiri wako au sehem yako ya makazi na biashara. Hii hujumuisha pia insurance au bima ya mkopo na gharama zingine ndogo ndogo kama wanasheria and so forth.

Funzo, ukihitaji mfano 20million usikope 20m ongeza japo laki 2 yaani kopa 20,200,000 ili upate pesa kamili.
Kwa hiyo inakuwa kama vile mkopaji unaadhibiwa. Maana mojawapo ya jukumu la Benki ni kufika kwa mteja ili kumkagua (Assessment) na kama gharama hizo zinalipwa na mteja ina maana benki haina bajeti ya kuwatembelea wateja wao ili kuwakagua? BOT haina masharti kwa mabenki kuonesha kwamba yanaweza kuwatembelea wateja wao kabla ya kuwakopesha?
 
1.lazima ulichokusudia kiwe cha kimkakati zaidi yaani kilenge kuzalisha pesa bila kukosea.
2.do not overspend.mimi ninatabia ninapopata pesa basi natumia 25 only kwa matumizi yalazima ikiwa pamoja na madeni sugu nayanayosumbua. 35 nawekeza na 80percent-97 lazima zizalishe pesa.40percent naisave siigusi kabisa isipokuwa kama nitapata short kwenye biashara niliyoiwekeza.
3.shughuli niliowekeza ndo itaanza kulipa loan downpayment baada ya miezi 3 tangu kukopa.so kwa iyo miezi 3 nitatumia pesa nilioitenga ya uwekezaji kwenye 35percrnt.
4.lengo la mkopo ni kuzalisha zaidi.kama huna mikakati na uhakika usikope kwa riba kubwa.unawezajikuta faida yote inaishia kwenye riba.
5.mi hata riba iwe 60percent mi ninaangalia nini ninataka kufanya na kitaniingizia pesa ngapi.so faida laxima hata riba iwe 60percent.jino kwa jino,ushuzi kwa ushuzi.
 
Hivi kwanini msimalizane na hawa wa zamani halafu marekebisho yaanze upya mnavyotaka ila WAZEE WANALALAMIKA SANA ...PSSF KUWENI MAKINI MZEE YUPO NJIANI..
 
pia loan processing usiinclude hizo ni gharama zako.1.kuhonga. 2.gharama za kuja kufanya estimation za bond unazotaka kuweka=nyumba or else: LOAN DOWN PAYMENT NI MAREJESHO
 
Navumilia kuwa mtanzaniaa!!!

haya mambo yapo Tanzania ya Magufuli tuu!!!!

Nahisi hutaweza maliza miaka ya utawala wa magufuli maana unakereka naye hatari. Hata lisilomhusu lazima umtaje. Sa hapa magufuli anaingiaje ? Boya wee
 
Processing mbona jambo liko karibu kila sekta....ni ada ya mchakato. Tena zamani ilikuwa inalipwa upfront sikuhz naona ndo wanakata kwenye mkopo. Tanesco iko, maji iko, kwenye kuomba nafasi za vyuo iko, kuomba visa iko, and many more. BOT haiwez kuingilia sera za benk yyte as long as hizo sera hazivunji sheria. Ilichofanya Bot ni kuzitaka benki kudeclare gharama zao kwa kila muhula wa kutangaza financial status. Nia ni kwamba mlaji afanye maamuzi sahihi...! Kinachoweza kusaidia hapa ni ushindan uliopo sokoni. Ushindan ukiwa mkal sana utasababisha benk kuondoa tarif flanflan ili zipate wateja. La msingi kabsa kabla hujakopa omba ghrama zote then shop around tafta unapopamudu
 
Wabongo tunakopa sana mtu hata kama hana uwezo na sababu ya kukopa ila atakopa tuu...
 
Hiyo ni bima ya mkopo ikiwa utakufa kabla ya kumaliza marejesho
Wanaitaga 'loan processing fee'. Kwa hiyo ndo inafidia waliokufa? Hao wakafidiwe na Mungu. Hakuna mtu anapenda kufa bana. Ni wezi tu.
 
Ndio mana katika mkataba gharama zote huanishwa kama gharama yamaandalizi yamkopo,gharama zauendeshaji mkopo,na gharama zakisheria haswa kwamikopo mikubwa,hivyo kama mkopaji unaamua kuchukua au kuacha kuchuchukua lakini mkopaji mzuri ni yule anaeuliza yote kuweza kujua
 
Back
Top Bottom