Waafrika tunashangaza sana, ukiambiwa I love u, una uliza maswali, hukawii siku moja kusema mbona hanipigi, maana kuna watu eti akipigwa ndiyo anaona anapendwa na mtu. Hilo neno zuri sana la kukufanya ujue uko peke yako! wengine huita sweety! Hny! My love, etc, etc, be cool and enjoy maisha.