Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,608
- 93,427
Unamfahamu RC wa Simiyu? Au unadhani kutembea na media na kiwalipa posho watu wa makamera wakupaishe ndio utendaji kazi?Kama nani.mkuu,
Makonda tumuhukumu kwa kazi, siyo kwa kashfa za chuki tu,
Hebu ona mpaka sasa nitajie mkuu wa mkoa aliyefanya kazi kama Makonda?
Cc
Pascal Mayalla
Hakuna Rc bora Tanzania wa kumzidi Anthony Mtaka wa Simiyu. Chema chajiuza....