Nathan Jr
JF-Expert Member
- Sep 14, 2017
- 1,437
- 1,875
- Thread starter
- #41
Mkuu mkoa unaweza fanya vema wilaya zake zote, ukaangushwa na wilaya moja kama ilivo kwa kinondoni na DSMUtetezi mwingine bana ni shida tu. Unasema Makonda kafanya kazi kubwa sana. Wakati huohuo unamponda Mkuu wa Wilaya ambayo ni sehemu ya mkuu wa mkoa unayemsifia! Hapa inaonekana una chuki binafsi na huyo Happy hata kama kuna mambo umesema ya kweli. Sio mbaya acha tuheshimu maoni yako hata kama hatukubaliani na uliowaponda au kuwasifia.