Hii ni Orodha ya Teuzi ambazo Mheshimiwa Magufuli kateleza naye ameshajua anatafuta jinsi ya kuwatoa

Utetezi mwingine bana ni shida tu. Unasema Makonda kafanya kazi kubwa sana. Wakati huohuo unamponda Mkuu wa Wilaya ambayo ni sehemu ya mkuu wa mkoa unayemsifia! Hapa inaonekana una chuki binafsi na huyo Happy hata kama kuna mambo umesema ya kweli. Sio mbaya acha tuheshimu maoni yako hata kama hatukubaliani na uliowaponda au kuwasifia.
Mkuu mkoa unaweza fanya vema wilaya zake zote, ukaangushwa na wilaya moja kama ilivo kwa kinondoni na DSM
 
Huyo Mwijage kwa kweli hawez, cjui ni vigezo gan vnatumika kuteuwa baadhi ya watu. Sijui hata ni nini anafanya pale. Lugola kaingia juzi ni mapema kumhukumu.
 
Charles Mwijage
qRI8Gs7.gif
 
Hata kwa Kafulila kalamba dume, nadhani atamfikia Suleiman Jafoo kwa utendaji, Jafoo ni mtendaji huwezi msikia kwenye siasa chafu au wao ni kweli wanawatumikia wananchi hata Ummy MWALIMU ujakosea wanawatumikia wananchi kwa kweli
 
Umemsahau Wa Kisarawe, hapo napo kabugi sijui ni hongo ya kwichi kwichii
 
Kwanza mkuu wa nchi nakupongeza kwa kazi nzuri unayofanya mpaka sasa tuache ushabiki na misimamo we unapiga kazi kwa hali na mali na Mungu anakuona kwa Hilo,

Lakin Mkuu kuna teuzi umezifanya ambazo kwakweli haziendani na kasi yako ya utendaji na hawa hapa ndo orodha kamili ya watu ambao hawakufai kabisa

1. Happy Salum Ally
Huyu umeanza naye kinondoni kama mkuu wa wilaya lakin wajuvi wa mambo tumeona kwamba kuna tatizo katika mtu huyo,

Hakuna kazi anayofanya tofauti na kupost picha Facebook kwa kila tukio mpaka anaboa,

Nikadhani umempromote kuwa mkuu wa mkoa na kumkanya kuachana na mitandao
Kila tukio ata akiwa anamfuta makamasi mtoto wake anapost, kwa ufupi anapenda sifa kuliko uwezo wake, na kazi zake haziwezi zinampwaya,
Kinondoni mapato yalipungua Mara dufu, afya vituo vilivyokuwapo havikuendelezwa, barabara ndogo ambazo zipo chini ya almashauri hiyo hakurekrbisha chochote, changamoto za serikali za mitaa ndani ya wilaya ya kinondoni zimeongezeka , kweli hakufika hata robo ya makonda akiwa Kinondoni,


2. Charles Mwijage
Huyu ni waziri wa viwanda, kwanza anaaibisha serikali yako kwa kutaja taja mambo ambayo hayana maana katika jamii, eti vyerehani vitatu seriously ni kiwanda?

Nchi sasa ina changamoto ya sukari, cement, mafuta ya kula, na urasimu katika uanzishwaji viwanda uko pale pale, kwa kifupi hafai kabisa, ataftiwe kazi nyingine,

3. Humprey Pole pole hawezi siasa za uenezi ni bora ungemuacha wilayani,
Huyu mtu yuko makin kwenye masuala ya utendaji siyo uenezi hayawezi haya ,hajafit kwenye viatu vya Nape,

4. Kangi Lugola,
Hapa ndo nasema kwamba mzee huyu japo bado ni mapema lakin naona dalili za kufeli ndani yake na italeta shida hapo mbeleni,

5. Mzee Philip Mpango naye kwa upande wangu simuelewi nisijue wengine,

Pamoja na hiyo kuna majembe umeyateua nakupa pongezi

A. Makamu wa Rais ni mtu sahihi kabisa mama Samia Suluhu Hassan

B. Waziri Mkuu Mheshimiwa majariwa umepatia

C. Paul Makonda umepatia sana, kusema ukweli

D. Mrisho Gambo huyo umelamba dume maana ni mtu wa kazi tu hana masifa, nadhani wa Iringa ajifunze kwa huyu

E. Dr wilbroad Slaa
Huyu Mzee namuamini sana katika kila kazi ambayo huwa anakabidhiwa,

F. Kigwangalla
Mungu amponye haraka huko alipo

G. Martin Shigela, huyu anafanya kazi kimya kimya kapikwa kaiva sana, na namuona ni miongoni Mwa wakuu wa mikoa safi,

H. Mongella mkuu wa mkoa wa Mwanza, huyu anafanya kazi kufa na kupona anapigana kweli kweli, hana majigambo, nadhani wa Iringa ajifunze hapa,

Kwakweli Mungu aibariki Tanzania,
Acha wivu wa kike, mwanaume.mzima.mambo ya kike ni aibu.
 
Magufuli na watu wake wa system wanajuwa Makonda huwa anajipigia promo hii ni moja wapo
 
Alipopatia Magufuli kwa uteuzi ni kumteua Waziri Lukuvi.

Jembe sana huyu jamaa.

Alipobugi ni kumteua Lugola na Mwijage.
Tena huyu Mwijage ni kama comedian
 
Hata kwa Kafulila kalamba dume, nadhani atamfikia Suleiman Jafoo kwa utendaji, Jafoo ni mtendaji huwezi msikia kwenye siasa chafu au wao ni kweli wanawatumikia wananchi hata Ummy MWALIMU ujakosea wanawatumikia wananchi kwa kweli
kuna jaffo,lukuvi,makamba na waziri mkuu hawa watu hawana show off wao kazi mwanzo mwisho,kigwangala shida aliyonayo anapenda sana mitandao y kijamii yeye kila kitu kuposti tu matukio yake
 
Mleta maana unaelewa maana ya uongozi?

Unajua tofauti ya kuwa muongeaji sana na kujitangaza, na kuwa kiongozi?

Kwenye list yako, watu uliokosea kabisa ni Makonda na Kigwangala. Hawa wawili ni watafuta sifa. Ni watu ambao wangependa kupata attention ya vyombo vya habari kuonesha kuwa wanafanya kazi sana lakini hakuna RESULTS.

Makonda kitu pekee alichofanikiwa ni matengenezo ya magari ya polisi. Matengenezo yale, kwa muundo wake aliiga toka kwa polisi wa Burundi (siyo vibaya kuiga jambo zuri).

Hawa wawili, hakuna ambacho kinaonekana wamefanikiwa. Huko kwenye sekta ya utalii, japo watalii wanaongezeka kwa kiasi kidogo lakini ukuaji wake umeshuka toka 15% mpaka 3.2%.

A good leader is not that who shouts a lot but is the one able to convince his/her people to rally behind him/her towards the right direction. He/she is thebone that who creates more leaders, the one able to make his/her people to have ownership of their responsibilities.
 
Sio bure umetumwa kuwasafisha watu fulani hapa
nyie watu
Kuzunguuka huko koote lakini lengo lako kuu ni kumtetea Bashite tu. Bashite anaishi kwa mbeleko tu hana chochote anachokifanya zaidi ya kiki!. Kila anachokianzisha hakifiki hata robo ya utekelezaji!

1. Hana vyeti halali
2. Anautambulisho feki
3. Kavamia studio kwa mtutu
4.Mara kadhaa ametumia mamlaka kudhalilisha watu wazima mikutanoni
5. Anajipendekeza mno kwa mkulu mpaka aibu, Nyerere alisema mtu anayejipendekezapendekeza sana kwa mwenye mamlaka mtu huyo ni mnafiki
6. Ni muonevu

Ukinieleza Bashite kuwa ni jembe labda jembe la mbao
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom