Wamemchana wakati mwenzao kafutiwa dhambi na jiwe kawa kama mtoto mchangaMwijaku ni nani katika uislamu?
Mbona masheikh wengi wamemchana kwa ujinga alioufanya
Wamemchana wakati mwenzao kafutiwa dhambi na jiwe kawa kama mtoto mchangaMwijaku ni nani katika uislamu?
Mbona masheikh wengi wamemchana kwa ujinga alioufanya
Muhammad alisema linafuta dhambi, na litakuwa na macho na mdomo na litaongea siku ya hukumu wewe unabisha?Tuanze hapa
Maana ya ibada ni nini?
Masharti gani yanatakiwa kwa kusihi ibada?
NB
Umeandika porojo usizozijua, hakuna muislamu anaamini kwamba hilo jiwe linaleta madhara au kunufaisha bali tunaamini juu ya utukufu wake.
Umar alivyo sema na Muhammad alivyosema apa nani unamuamini?Uislamu umenyooka, haiwezekani mtu kuabudia kitu ambacho hakidhuru wala kunufaisha bali hiyo ni Sunnah ya mtume (saw)
Angalia maneno ya Khalifa wa pili wa uislamu (swahaba wa mtume) anasemaje kuhusu mada yako
Umeambiwa linafuta dhambi, kwa nini udanganye?
Hii ni hadith kutoka kwenye Sahihi Bukhari kitabu ambacho kinategemewa baada ya Quran
Mkuu ALLAH akuzidishie kheri umezungumza jambo Zuri sanaNdugu Al-mukheef MBWARI Mwislam by choice and other Muslims , msipoteze muda wenu kubishana na Extremists Galatians like Hamis , mokiti and others hao hawautakii kheri Uislamu na Lengo lao ni kuleta mabishano na malumbano yasiyo na msingi.
Jf Kuna watu wengi Wenye akili fupi , mtu mwenye busara ni vyema kuwaepuka na mabishano hayo hayana mwisho na mlengo mzuri , na ukiwapuuza watu kama hao and their fellows Scumbags supporter ni jibu tosha na njia moja wapo ya kuwadhohofisha.
kwani Lengo lao mbishane muonekana vijana wa Kiislamu hamna adabu na wakorofi tena wengine wakituna matusi makubwa na kebehi hayo yote si kitu hii Dini haijaanza kushambuliwa bali toka enzi lakini bado Inashamiri , mukiwapuuza na kusubiri watajiona useless watasema Kisha watachoka kama wengi waliokuwepo Jf Zamani kwa kazi hii sasa wako wapi ? wamechoka na kupotea kabisa.View attachment 3290002
Sahih al-Bukhari 4376, 4377Hii ni hadith kutoka kwenye Sahihi Bukhari kitabu ambacho kinategemewa baada ya Quran
Acha kumpa moyo maandiko ni yenu waislamuMkuu ALLAH akuzidishie kheri umezungumza jambo Zuri sana
Hawa makafiri extremists hawapo kwa ajili ya kujifunza Hata ukweli udhihirike mbele ya macho yao hawataamini watakuja na kisingizio kingine(makafiri wote hufanana tabia hata zama za kale makafiri walikua watu wa hila kama hawa wa zama hizi) na adhabu kali ya moto ni mafikio yao
ALLAH atuepesho kuwa miongoni mwao aamiin.
Hii ni chai ya asubuhi na chapati 2. Leta ushahidiJiwe jeusi ni mkono wa kuume wa Allah duniani; yeyote anayeugusa au kumbusu, ni kama anapeana mikono na Mwenyezi Mungu na kumbusu mkono wake wa kulia."
Bado hujatoa ushahidi wa maandiko kuwa waislamu wanatakiwa waliabudie hilo jiwe.Jiwe ni mkono wa Allah na kulibusu umebusu mkono wa Allah unafikiri ni jambo dogo ? Wewe unauwezo Gani wa kutukuabudu mkono wa allah
Wewe ndo unabidi uthibitishe usahihi wa hadithi hiyo kwa kuonyesha ipo kwenye kitabu gani kati ya vile vinavyokubalika,namba ya hadithi,wapokezi wake na wasimulizi wake.Thibitisha
Stick kwenye hoja au fungua thread ya Maria.Unafosi tufanane muabudu sanamu la bikira maria
Kwa hivyo kulibusu jiwe na kuliinambia siyo ibada ya sanamu?Ile ni kibra tu na hapo ndipo katikati ya arshi ya mwenyezi mungu lau ingewezekana macho yetu yakawa kisogoni tungesujudu kuelekea juu. Hizo ni miongonni mwa nguzo na historia adhimu katika uislam .ikiwa ni ibada za kisanamu amini ingekuwa iko baina kwa hakika Muhammad alitii maagizo ya mola wake nayo ilikuwepo tangu Ibrahim na mwanae ndio waliojenga. Hakuna chochote katika uislaam kinacho fanyika kiimani alicho jipangia Muhammad. Labda hitrafiani za kisunna tu sisi kwa sisi mkuu.
Why umeandika Kujihi badala ya KuhijiAsilimia kubwa wa wanapenda kujihi hawajua Ibada ya hija yaani hawajaisoma kikamilifu bali wanaenda kibubusa tu , sasa matokeo yake wengi wanafanya mambo ya makosa.
Mimi binafsi mwaka nitakaoenda kujihi Makkah In Shaa Allaah nitakaa darasani kwanza kuisoma ibada yenyewe kwa ukamilifu kwa mujibu wa mafundisho sahihi ya Uislamu maana tofauti kubwa ya Uislamu na dini nyinginezo kila ibada inahitajia Elimu na Ina miongozo , masharti na nguzo kutoka na reference lazima tuifanye kama ilivyofanywa , kuelekezwa na kufundishwa na Mtume Muhammad (ﷺ) kupitia Qur'an na Sunnah kwa ufahamu sahihi.
Katika Uislamu yeyote anayejitungia Ibada ambayo haina asili Wala haipo kwenye Uislamu au Ibada ni sahihi ipo lakini mtu akafanya kwa namna ya makosa , akazidisha na kuongeza vitu pamoja na kufanya kwa namna anavyojisikia basi hiyo ibada ni batili .
Kwa Elimu yangu ndogo ibada ya Hajji na Umrah haisiani na kile alichofanya mwijaku kulifuta futa shuka na Allaah ndiye mjuzi zaidi.
Lakini kumbuka, Uislam ni dini ya shetani na ndiyo maana wao wanapinga kila kitu kilicho cha Mungu. Kingine, waislam wengi ni wehu kwa sababu wanashindwa kujiuliza ni kwanini Waarab waliwadanganya kuabudu mizimu yao (mapango, miamba, milima, miti mikubwa) ni dhambi na laana lakini utashangaa mtu na akili zake anajichangisha hela na kwenda Uarabuni kubusu jiwe, huu kama si ujinga ni kitu gani?Hii ni moja ya ibada ya sanamu kuu duniani
Muislamu mwenye kutafakari hakika hatapinga hilo, atakubaliana na mimi. Waislamu mwanzoni mwao walipinga ibada ya sanamu (walikuwa sahihi kabisa) ila baada ya mtume Muhamad kulibusu hilo jiwe baada ya kuiteka Maka ikawa suna kwa Waislamu wote hadi leo hivi. Muhamad aliweza kuondoa ibada yote ya sanamu huko Maka lakini kwenye Hajar aswaad hakuweza.
Waislamu wote duniani wanasali wakielekea kwenye hilo jiwe, wakiinama na kuinuka kwa mwelekeo huo (kibra). Na hao wanaofika Maka kuhiji wanasali kwa kulizunguka hilo jiwe na kulibusu huku wakiomba dua. Kama ameshindwa kulibusu analipungia mkono na kuomba dua. Akili yote ya muislamu anapoenda kuhiji ni kuligusa au kulibusu hilo jiwe na hapo ndipo hija yake inakamilika. Na Waislamu wote hamu yao kuu ni kufika Maka naam na mbele ya Alkaaba na Hajar aswad ili wayaache madhambi yao huko mbele ya jiwe. Lakini dhambi bado inawanyanyasa, maana dhambi haiondoki kwa matendo ya hijja. Nawasikitikia kukaa mbali na Yesu msamehe wa dhambi.
Hijja
Ibada ya Hijja zamani hizo kabla ya Uislamu ilifanywa na Waarabu, walifanya sawa sawa na Waislamu wa leo kasoro kufanya tawaf uchi wa mnyama ili wasijitie unajisi. Wa leo wanahiji bila kuvaa chupi ili wasijitie unajisi. Mungu alimwonya Musa na wana wa Israeli wasisogelee nyumba yake bila kuvaa nguo ya ndani. Kut 20:26; 28:42,43. Lakini kwa Allah ni kinyume chake, hataki waja wake wavae nguo za ndani. Hili ni dhihirisho kwamba YHWH na Allah ni waungu wawili tofauti.
Na kwa hakika hakuna nabii au mtume au wazee wa imani waliofanya ibada sampuli hii inayofanyika leo na Waislamu huko Makka. YHWH kupitia nabii Musa aliwaonya Waisraeli wasijaribu kuweka sanamu au jiwe na kuliinamia ama kulifanya kama majaliwa ya ibada, ni chukizo kwake. Imeandikwa;
‘Msijitengenezee sanamu au kusimamisha kinyago cha kuchonga, au mnara, wala jiwe la kuabudia, na pia msijiwekee jiwe lililochongwa katika nchi yenu na kusujudu mbele yake. Mimi ndimi Bwana Mungu wenu.Walawi 26:1 NEN
Waislamu wanadai Muhammad ni nabii mfano wa Musa, huu ni uzushi mkubwa. Ni hakika Muhamad ni mpinga Musa na manabii wote. Na zaidi ni mpinga Kristo.
Mungu awasaidie Waislamu waone siri ya Kristo ili watoke katika utumwa wa ibada ya sanamu.
Kwa ajili ya hayo, wapenzi wangu, ikimbieni ibada ya sanamu. 1 Kor 10:14 SUV
View attachment 3289665
TuthibitishieUislam ni dini ya shetani
🤣🤣🤣 so amazing....Kazi za sanamu jiwe la macca (kwa waislamu linafanya yafuatayo)
- Jiwe jeusi lina fyonza dhambiza waislamu
- Ibn Abbas alisisitiza kwamba: Muhammad alisema: "Jiwe jeusi liliteremka kutoka Peponi, na lilikuwa jeupe zaidi kuliko maziwa, kisha likatiwa weusi na dhambi za watoto wa Adamu. Jami` at-Tirmidhi 877
- Jiwe jeusi kutoa hukumu siku ya mwisho
- Imesimuliwa kwamba Ibn 'Abbaas alisema: Muhammad alisema juu ya Jiwe: "Na Allaah, Allaah Atalileta jiwe hiyo Siku ya Kiyama, na jiwe litakuwa na macho mawili na ambayo yanaona na mdomo ambao utaongea , na jiwe litashuhudia kwa wale walioigusa kwa moyo wa kweli. "Jami` at-Tirmidhi 961
- Jiwe linafuta dhambi likiguswa kwa moyo wa kweli
- Imesimuliwa kutoka kwa Abdullah bin Ubaid bin Umair kwamba: "Ewe Abu abdur-Rahman, kwanini nikuone tu ukigusa hizi pembe mbili?" Alisema: "Muhammad alisema: Kuzigusa zinafuta dhambi." Sunan an-Nasa'i 2919