hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,250
- 26,640
Hii ni moja ya ibada ya sanamu kuu duniani
Muislamu mwenye kutafakari hakika hatapinga hilo, atakubaliana na mimi. Waislamu mwanzoni mwao walipinga ibada ya sanamu (walikuwa sahihi kabisa) ila baada ya mtume Muhamad kulibusu hilo jiwe baada ya kuiteka Maka ikawa suna kwa Waislamu wote hadi leo hivi. Muhamad aliweza kuondoa ibada yote ya sanamu huko Maka lakini kwenye Hajar aswaad hakuweza.
Waislamu wote duniani wanasali wakielekea kwenye hilo jiwe, wakiinama na kuinuka kwa mwelekeo huo (kibra). Na hao wanaofika Maka kuhiji wanasali kwa kulizunguka hilo jiwe na kulibusu huku wakiomba dua. Kama ameshindwa kulibusu analipungia mkono na kuomba dua. Akili yote ya muislamu anapoenda kuhiji ni kuligusa au kulibusu hilo jiwe na hapo ndipo hija yake inakamilika. Na Waislamu wote hamu yao kuu ni kufika Maka naam na mbele ya Alkaaba na Hajar aswad ili wayaache madhambi yao huko mbele ya jiwe. Lakini dhambi bado inawanyanyasa, maana dhambi haiondoki kwa matendo ya hijja. Nawasikitikia kukaa mbali na Yesu msamehe wa dhambi.
Hijja
Ibada ya Hijja zamani hizo kabla ya Uislamu ilifanywa na Waarabu, walifanya sawa sawa na Waislamu wa leo kasoro kufanya tawaf uchi wa mnyama ili wasijitie unajisi. Wa leo wanahiji bila kuvaa chupi ili wasijitie unajisi. Mungu alimwonya Musa na wana wa Israeli wasisogelee nyumba yake bila kuvaa nguo ya ndani. Kut 20:26; 28:42,43. Lakini kwa Allah ni kinyume chake, hataki waja wake wavae nguo za ndani. Hili ni dhihirisho kwamba YHWH na Allah ni waungu wawili tofauti.
Na kwa hakika hakuna nabii au mtume au wazee wa imani waliofanya ibada sampuli hii inayofanyika leo na Waislamu huko Makka. YHWH kupitia nabii Musa aliwaonya Waisraeli wasijaribu kuweka sanamu au jiwe na kuliinamia ama kulifanya kama majaliwa ya ibada, ni chukizo kwake. Imeandikwa;
‘Msijitengenezee sanamu au kusimamisha kinyago cha kuchonga, au mnara, wala jiwe la kuabudia, na pia msijiwekee jiwe lililochongwa katika nchi yenu na kusujudu mbele yake. Mimi ndimi Bwana Mungu wenu.Walawi 26:1 NEN
Waislamu wanadai Muhammad ni nabii mfano wa Musa, huu ni uzushi mkubwa. Ni hakika Muhamad ni mpinga Musa na manabii wote. Na zaidi ni mpinga Kristo.
Mungu awasaidie Waislamu waone siri ya Kristo ili watoke katika utumwa wa ibada ya sanamu.
Kwa ajili ya hayo, wapenzi wangu, ikimbieni ibada ya sanamu. 1 Kor 10:14 SUV
Muislamu mwenye kutafakari hakika hatapinga hilo, atakubaliana na mimi. Waislamu mwanzoni mwao walipinga ibada ya sanamu (walikuwa sahihi kabisa) ila baada ya mtume Muhamad kulibusu hilo jiwe baada ya kuiteka Maka ikawa suna kwa Waislamu wote hadi leo hivi. Muhamad aliweza kuondoa ibada yote ya sanamu huko Maka lakini kwenye Hajar aswaad hakuweza.
Waislamu wote duniani wanasali wakielekea kwenye hilo jiwe, wakiinama na kuinuka kwa mwelekeo huo (kibra). Na hao wanaofika Maka kuhiji wanasali kwa kulizunguka hilo jiwe na kulibusu huku wakiomba dua. Kama ameshindwa kulibusu analipungia mkono na kuomba dua. Akili yote ya muislamu anapoenda kuhiji ni kuligusa au kulibusu hilo jiwe na hapo ndipo hija yake inakamilika. Na Waislamu wote hamu yao kuu ni kufika Maka naam na mbele ya Alkaaba na Hajar aswad ili wayaache madhambi yao huko mbele ya jiwe. Lakini dhambi bado inawanyanyasa, maana dhambi haiondoki kwa matendo ya hijja. Nawasikitikia kukaa mbali na Yesu msamehe wa dhambi.
Hijja
Ibada ya Hijja zamani hizo kabla ya Uislamu ilifanywa na Waarabu, walifanya sawa sawa na Waislamu wa leo kasoro kufanya tawaf uchi wa mnyama ili wasijitie unajisi. Wa leo wanahiji bila kuvaa chupi ili wasijitie unajisi. Mungu alimwonya Musa na wana wa Israeli wasisogelee nyumba yake bila kuvaa nguo ya ndani. Kut 20:26; 28:42,43. Lakini kwa Allah ni kinyume chake, hataki waja wake wavae nguo za ndani. Hili ni dhihirisho kwamba YHWH na Allah ni waungu wawili tofauti.
Na kwa hakika hakuna nabii au mtume au wazee wa imani waliofanya ibada sampuli hii inayofanyika leo na Waislamu huko Makka. YHWH kupitia nabii Musa aliwaonya Waisraeli wasijaribu kuweka sanamu au jiwe na kuliinamia ama kulifanya kama majaliwa ya ibada, ni chukizo kwake. Imeandikwa;
‘Msijitengenezee sanamu au kusimamisha kinyago cha kuchonga, au mnara, wala jiwe la kuabudia, na pia msijiwekee jiwe lililochongwa katika nchi yenu na kusujudu mbele yake. Mimi ndimi Bwana Mungu wenu.Walawi 26:1 NEN
Waislamu wanadai Muhammad ni nabii mfano wa Musa, huu ni uzushi mkubwa. Ni hakika Muhamad ni mpinga Musa na manabii wote. Na zaidi ni mpinga Kristo.
Mungu awasaidie Waislamu waone siri ya Kristo ili watoke katika utumwa wa ibada ya sanamu.
Kwa ajili ya hayo, wapenzi wangu, ikimbieni ibada ya sanamu. 1 Kor 10:14 SUV