Hii ni Mogadishu, Somalia

Hii ni Mogadishu, Somalia

Somaliland haitambuliki kimataifa.

Who cares kwani wananchi wameamua kufanya kazi na passport wanazo fedha zipo na Dubai na dunia nzima wanashusha mzigo port uzuri hata ndege wanazo za kwenda Nairobi, Dubai kila siku
 
Hawa wasomali wa bongo tu kuoa kazi seuze hao somaliland. Jitafutie mmakonde wako mwanze maisha usijitie tabu bure by the way wanasema wenyewe 'Utamaliza bucha nyama ni ileile'

natamani kufika somaliland, na nipate mke wa kisomaliland
 
Hapo ni Somaliland na siyo Mogadishu, Somalia. Wao wana amani tofauti na wenzao wa Mogadishu.
Na hapo ni sokoni wanabadilisha fedha, kama sisi huku kwenye bureau de change.
Huko hakuna wizi, mafedha yote hadharani na amani tele.

MZEE MAKWAIA WA KUHENGA aliwahi kutembelea hiyo nchi! Na akairusha clip channel 10, yote uliosema yanafanana na ile clip ya Mzee Makwaia!
 
dah kwani ilikuwa lazima u cc mtu kwenye jibu lako!!? si bure

Hahahahahaaaa John Ezekiel wasiwasi wako tu, yeye ndio aliuliza. Nimejaribu kufanya hivyo apate taarifa kishajibiwa, hakuna la zaidi. Nawewe hapa si bure hahahahaaa
 
Last edited by a moderator:
MZEE MAKWAIA WA KUHENGA aliwahi kutembelea hiyo nchi! Na akairusha clip channel 10, yote uliosema yanafanana na ile clip ya Mzee Makwaia!
Niliona hiyo clip, yaani watu wanaacha hela barabarani bila hata mlinzi wanaenda Msikitini.
 
Uzuri wa Somaliland wamejikata na somalia kuepusha mpasuko wa Al shabab na siasa chafu, wanaendelea siku hadi siku
Lakini kwa bahati mbaya nchi nyingi haziitambui. Hivyo kila mtu lazima awe na passport mbili ya Somalia na Somaliland. Hata jumuia za kimataifa lazima zipate go ahead ya Somalia ili ziweze kufanya kazi Somaliland. Hata hapa TZ hatuitambui Somaliland Officially.
 
Hahahahahaaaa John Ezekiel wasiwasi wako tu, yeye ndio aliuliza. Nimejaribu kufanya hivyo apate taarifa kishajibiwa, hakuna la zaidi. Nawewe hapa si bure hahahahaaa

hata...kijana wa watu nimeshangaa tu kwnn u cc, angekuwa mwanaume ndio ana cc hata nisingeshangaa maana ni moja ya principal ya kuvua samaki humu jamvini
 
p014ft9t.jpg
 
Nasikia huko kuna amani sana na wizi hakuna kabisa, masonara wanaacha maduka ya dhahabu wazi wakienda kulala usingizi wa mchana.
 
Back
Top Bottom