Hii ni maajabu

Nimeambulia kujua huyo mheshimiwa ni mkuria kwa comment za humu si mtoe taarifa kamili basi ni nani katongozwa nn kinaendelea mbona mafumbo na sisi ni fake id?
 
Zile ni dalili za kuchanganyikiwa si alipigwa chini kwenye mkeka wa juzi juzi.
Aje mtaani ajiajiri wafungue mgahawa na huyo dem maisha yaendelee

Asituletee ufamba wake hapaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Na wanawake wakianza kushitaki wanaowatongoza kwa siku mahabusu na magereza si zitajaa watu?
Hata kama ni kutafuta kwenda viral kwenye mitandao ya kijamii sio kwa stahili hii
 
Mikwara ipi ina mana mke haeelewi kua huyo Binti ni msumbufu si unampa namba wanapambana wenyewe, halaf huyo demu hawezi kaza kiasi hicho unaeza Kuta nyuma ya milango anamfaham MUHESHIMIWA ni mtu wa totoz
Inawezekana ni msumbufu lakini mpaka akashitaki?
Niliwaza tu labda mke kaingilia na kumwambia kama humjui kamshtaki basi

Sisi tuna assume tu ila hatujui ukweli ni kama wapiga ramli tu πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…