mito
JF-Expert Member
- Jun 20, 2011
- 10,811
- 11,028
Wewe,kwa nini wadada tu????unamaanisha huyo atayekukaribisha kuishi kwake akukaribisha na kila kitu chake???personally nilianza kukuelewa ila ulipoanza kueleza habari za uhandsome naona sitaweza.
Kaa tu na handsome wako lol!
Mamajack nimekuona nikakumbuka, vipi yale makitu ndani mwako yalikoma? samahani kama mbukumbuku siyo sahihi