mangi waukweli
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 246
- 27
- Thread starter
- #41
mi ninakaa mwenyewe naogopa kukukaribisha kwa kuhofia utanibaka,
haiwezi tokea maana c utakua unadetails zangu zote nitakubaka vip
mi ninakaa mwenyewe naogopa kukukaribisha kwa kuhofia utanibaka,
mi ninakaa mwenyewe naogopa kukukaribisha kwa kuhofia utanibaka,
kwanini usiuze hilo gari na likawa ndiyo capital ya kuanzia biashara unayodhani upo na uzoefu nayo kutokana na degree yako uliyosomea kuliko kutafuta mtu mwingine ukaishi kwakwe next time akikutenda utakuwa unatafuta mwingine au utakuwa unafanyaje sasa?, labda km hilo gari ndiyo kigezo cha kupata huyo mwanamke na si kazi km usemavyo kwakuwa km unagari sasa hela ya mafuta,matengenezo, maengesho pia unapata wapi wakati unadai huna kazi???.
kuwa mbunifu na degree yako km kweli unayo labda km ni ya mtaani na si darasani.
Mambo yeno mm ni mhitimu wa chuo kikuu nina degree ila nipo hapa mjini kwa lengo moja tu yani kutafuta kibarua so nimefikia kwa rafikiyangu mmoja maeneo ya sinza ndiyo nakaa nae ni mwezi sasa naishi nae illa tumeanza kutoautiana maana hakuna privacy jamaa akija na demu wake inabidi nilale sebuleni sasa maisha haya yamenishinda na nimekuja na gari langu limekua ndiyo kama la kwake na kutafutia mademu maana wakati mwengine nina wese la kuweka kwenye gari inabidi niwe mpole sasa nimeamua nibadilishe mbinu ya kuishi town natafuta mdada ambaye yupo alone anaishi pekeyake ili nikae nae kwa muda huu wa kusaka kibarua nitakua nampeleka kazini na kwenye mizunguko yake na gari langu litakua kama lake na fadhila yake kwangu mimi ni kuishi nae tu naomba madada wanao kaa mjini ambaye yupo tayari pls ani pm namba yake ya simu tuwasiliane am good looking ila kwasababu sina kazi kau handsome kamefifia kidogo
Kwahiyo hapo mkuu mtaji ni gari au degree?
Kha!
Mtaji ni uanaume wake. Ndo maana anataka mdada tu.
Sasa kama mdada nae ana gari yake? Si ufanye taxi bubu hiyo pajero yako?
Mambo yeno mm ni mhitimu wa chuo kikuu nina degree ila nipo hapa mjini kwa lengo moja tu yani kutafuta kibarua so nimefikia kwa rafikiyangu mmoja maeneo ya sinza ndiyo nakaa nae ni mwezi sasa naishi nae illa tumeanza kutoautiana maana hakuna privacy jamaa akija na demu wake inabidi nilale sebuleni sasa maisha haya yamenishinda na nimekuja na gari langu limekua ndiyo kama la kwake na kutafutia mademu maana wakati mwengine nina wese la kuweka kwenye gari inabidi niwe mpole sasa nimeamua nibadilishe mbinu ya kuishi town natafuta mdada ambaye yupo alone anaishi pekeyake ili nikae nae kwa muda huu wa kusaka kibarua nitakua nampeleka kazini na kwenye mizunguko yake na gari langu litakua kama lake na fadhila yake kwangu mimi ni kuishi nae tu naomba madada wanao kaa mjini ambaye yupo tayari pls ani pm namba yake ya simu tuwasiliane am good looking ila kwasababu sina kazi kau handsome kamefifia kidogo
Uanaume wenye uhendisamu ulioanza kufifia!
Wadada mna kazi duniani!
Mambo yeno mm ni mhitimu wa chuo kikuu nina degree ila nipo hapa mjini kwa lengo moja tu yani kutafuta kibarua so nimefikia kwa rafikiyangu mmoja maeneo ya sinza ndiyo nakaa nae ni mwezi sasa naishi nae illa tumeanza kutoautiana maana hakuna privacy jamaa akija na demu wake inabidi nilale sebuleni sasa maisha haya yamenishinda na nimekuja na gari langu limekua ndiyo kama la kwake na kutafutia mademu maana wakati mwengine nina wese la kuweka kwenye gari inabidi niwe mpole sasa nimeamua nibadilishe mbinu ya kuishi town natafuta mdada ambaye yupo alone anaishi pekeyake ili nikae nae kwa muda huu wa kusaka kibarua nitakua nampeleka kazini na kwenye mizunguko yake na gari langu litakua kama lake na fadhila yake kwangu mimi ni kuishi nae tu naomba madada wanao kaa mjini ambaye yupo tayari pls ani pm namba yake ya simu tuwasiliane am good looking ila kwasababu sina kazi kau handsome kamefifia kidogo
Mambo yeno mm ni mhitimu wa chuo kikuu nina degree ila nipo hapa mjini kwa lengo moja tu yani kutafuta kibarua so nimefikia kwa rafikiyangu mmoja maeneo ya sinza ndiyo nakaa nae ni mwezi sasa naishi nae illa tumeanza kutoautiana maana hakuna privacy jamaa akija na demu wake inabidi nilale sebuleni sasa maisha haya yamenishinda na nimekuja na gari langu limekua ndiyo kama la kwake na kutafutia mademu maana wakati mwengine nina wese la kuweka kwenye gari inabidi niwe mpole sasa nimeamua nibadilishe mbinu ya kuishi town natafuta mdada ambaye yupo alone anaishi pekeyake ili nikae nae kwa muda huu wa kusaka kibarua nitakua nampeleka kazini na kwenye mizunguko yake na gari langu litakua kama lake na fadhila yake kwangu mimi ni kuishi nae tu naomba madada wanao kaa mjini ambaye yupo tayari pls ani pm namba yake ya simu tuwasiliane am good looking ila kwasababu sina kazi kau handsome kamefifia kidogo
haiwezi tokea maana c utakua unadetails zangu zote nitakubaka vip
chumba changu,Umeme,maji,kodi nalipa mwenyewe,chakula nanunua mie,mafuta ya gari naweka mie na usalama wangu unakua hafifu. lolHahahaha atakusaidia usafiri tu.. inshort anajitolea kuwa dereva wako
khaaa! hakunaga jipya kwangu ila hili, kwangu geeeeeni kabisa,
weee! detail gani zitakazokunyima kunibaka?haiwezi tokea maana c utakua unadetails zangu zote nitakubaka vip