Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,038
Kwa wanaume waliokamilika na wanaojitambua kweli kweli mwanamke anaachwa kwa sababu kuu mbili tena bila vikao wala mjadala wala ushauri!
1:Mwanamke msaliti hastaili msamaha wa aina yeyote fukuzia mbali akakutane na wasaliti wenzao!
2:Mwanamke mchawi fukuzia mbali atauwa kizazi chako chote!
Kwa hivyo mwanamke anaachwa kwa sababu mbili tu! M saliti na mchawi, hizo tabia zingine mvumilie huyo ni chaguo lako.
1:Mwanamke msaliti hastaili msamaha wa aina yeyote fukuzia mbali akakutane na wasaliti wenzao!
2:Mwanamke mchawi fukuzia mbali atauwa kizazi chako chote!
Kwa hivyo mwanamke anaachwa kwa sababu mbili tu! M saliti na mchawi, hizo tabia zingine mvumilie huyo ni chaguo lako.