chaka bovu
Member
- Aug 7, 2012
- 16
- 0
kama kijana wa kitanzania unayependa maendeleo na nchi yako niwakati wako sasa kutafuta maisha siyo kila siku unabaki kulumbana kuhusu siasa. kwa kipindi kirefu chaka bovu amefanya utafiti nakuona kuwa asilimia kubwa ya vijana wameacha kufanya maendeleo na kulumbana kuhusu siasa, siwakatazi msijuusishe na siasa bali siasa inawakati wake na maendeleo pia.jua unatoka wapi na unaenda wapi amka. NDIO MANA TUNASEMA MAMBO YA NGOSWE MWACHIE NGOSWE.