Hii ni kwa kina dada tu

Hii ni kwa kina dada tu

Mie ndo haniwezi kabisaaa...
Afu mtu mwenyewe anakunywa kitu cha kuleta nzi!
tena mueleze my sister kunywa mirinda kama underage kama mgonjwa bora cocacola utachanganya na yale mambo yako
 
hila kweli mirinda tamu sana sema hawa mabinti hawajajua tuu.
 
Umeona ee...hana lolote na njaa zake.
umeona eee hawa madogo wanaboa sana wanaendekeza njaaa na masharti eti akate kishuleshule na fanta juu
wewe mirinda tamu ha ha utanidrive crazy kwa mirinda au?
 
Last edited by a moderator:
nani wakunyweshwa fanta...kazi kuletea wenzako nyuki......!!! woooi......katafute watoto wa shule bwna ukumbi wa watu na heshima zao huu.......ebu......
 
nani wakunyweshwa fanta...kazi kuletea wenzako nyuki......!!! woooi......katafute watoto wa shule bwna ukumbi wa watu na heshima zao huu.......ebu......

Oh Mamma mia!!!!!
 
haha hahaa uwiiii
kesha patikana au naweza kuleta maombi
pliziiiiiiiiiiiiii

na zikija PM mia utatusaidiaje???
 
Haaa nendeni mkirudi mseme walau kidogo yatakayowakuta huko room.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom