Naamini mko poa wana jf
Wanawake wengi wamekuwa na dhana potofu kuwa wanauwezo wa kulea watoto/mtoto peke yao bila kumtegemea mzazi mwenzake
Na hii ni kwasababu tu eti amejaaliwa kupata kazi yenye kipato kizuri,au ni mfanya biashara hivyo pesa kwake sio tatizo au ni mjasiriamali,nafikiri hili jambo sio sahihi.Mtoto ana haki ya kulelewa na wazazi wote wawili hata kama hamuishi pamoja lakini jitahidi huyo bwana achangie kiasi hata kama unamzidi kipato na hii ni kwa faida ya mtoto na wewe pia
Unaweza mlea peke yako lakini wakati ukifika mtoto atakuomba umpeleke kwa baba yake uwe unapenda au hupendi lazima utafanya hivyo,kwa hiyo ni bora umshirikishe mzazi mwenzio mapema kuliko usubiri wakati umezeeka ndio umlaumu mtoto kuwa nimekulea peke yangu tena kwa shida,ila sasa unamuona baba yako ndio anafaa kwa sas kuliko mimi haifai.
Kumbuka kuwa ni baba yake hata kama ni mnywa gongo
Hujachelewa waweza anza sasa
Wanawake wengi wamekuwa na dhana potofu kuwa wanauwezo wa kulea watoto/mtoto peke yao bila kumtegemea mzazi mwenzake
Na hii ni kwasababu tu eti amejaaliwa kupata kazi yenye kipato kizuri,au ni mfanya biashara hivyo pesa kwake sio tatizo au ni mjasiriamali,nafikiri hili jambo sio sahihi.Mtoto ana haki ya kulelewa na wazazi wote wawili hata kama hamuishi pamoja lakini jitahidi huyo bwana achangie kiasi hata kama unamzidi kipato na hii ni kwa faida ya mtoto na wewe pia
Unaweza mlea peke yako lakini wakati ukifika mtoto atakuomba umpeleke kwa baba yake uwe unapenda au hupendi lazima utafanya hivyo,kwa hiyo ni bora umshirikishe mzazi mwenzio mapema kuliko usubiri wakati umezeeka ndio umlaumu mtoto kuwa nimekulea peke yangu tena kwa shida,ila sasa unamuona baba yako ndio anafaa kwa sas kuliko mimi haifai.
Kumbuka kuwa ni baba yake hata kama ni mnywa gongo
Hujachelewa waweza anza sasa