Jana ligi kuu Tanzania bara iliendelea kwa baadhi ya viwanja, wakati mashabiki wa mpira wa miguu wanaoichukia ama itakia simba mabaya walitegemea ushindi kwa Azam mambo yamekuwa kinyume chake. Ngoja niende kwenye kengele niliyoanza kuitabili japo mie sio mtabiri, kipigo alichokipata Azam ni kengele kwa yanga kwamba Azam watakuja kwenu wakikumbuka kufungwa na simba hivyo ninauhakika msipojiandaa vyema historia itajirudia mkaacha mpira na kuhamia kwenye masumbwi kwa marefa wetu wa kibongobongo, ikwa hyuuu hyaaa ...........