fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 12,688
- 24,012
You're lacking Iodine and calcium in your body. Go to the near hospital for a help. Kuna vidonge watakupatia kuboost kiwango cha madini ndani ya mwili wako pia upendelee kula vyakula kama nyama, samaki, Karanga, maziwa, mboga za majani, mikate na matunda hasa dried fruits. Hivyo vyakula vina utajiri wa madini hitajika mwilini.Jamani mimi napenda sana harufu ya uvundo wa nguo yaani unakuta nguo imewekwa kabatini ikavunda yaani ile harufu naipenda mpk natamani kula nguo
Harufu ya mchanga mvua ikinyeshaa lazima nichote niule
Harufu ya vumbi mtu akifagiaa
Harufu ya udongo
Yaani nipo hivyo siku zote hivi itakuwa ni tatizo au ni kawaida kwa wengineo![]()
