Hii ni kawaida au tatizo

Hii ni kawaida au tatizo

Ukosefu wa madini ya chuma....hata wajawazito hutokewa na hali hiyo ndio maana clinic huandikiwa ivo vidonge vya madini chuma.
Au
Kula maharage ambayo hayajaungwa bado
Samaki
Mayai
Maini.
Usinywe maji kupita kiasi yanapunguza madini mwilini.
 
vipi harufu ya mavi, mtu akiwa anakunya pia unapenda mkuu?. utakua unaenda kukaa kwenye vyoo vya watu ili unuse harufu ya mavi yao.
Neno “mavi” na “kunya”😏😏😏yamekaa kama nini sijui bora kinyesi na kujisaidia.
 
Ukosefu wa madini ya chuma....hata wajawazito hutokewa na hali hiyo ndio maana clinic huandikiwa ivo vidonge vya madini chuma.
Au
Kula maharage ambayo hayajaungwa bado
Samaki
Mayai
Maini.
Usinywe maji kupita kiasi yanapunguza madini mwilini.

Hapo kwenye kunywa maji labda nipunguzee
 
Jamani mimi napenda sana harufu ya uvundo wa nguo yaani unakuta nguo imewekwa kabatini ikavunda yaani ile harufu naipenda mpk natamani kula nguo

Harufu ya mchanga mvua ikinyeshaa lazima nichote niule
Harufu ya vumbi mtu akifagiaa

Harufu ya udongo

Yaani nipo hivyo siku zote hivi itakuwa ni tatizo au ni kawaida kwa wengineo
Utakua na ujauzito wa kudumu bila shaka
 
Kiufupi wewe umeuzoea umasikini, yaani upo ndani yako mkuu
 
Back
Top Bottom