Hii ni kama hadithi kwa wengine, lakini ni hali halisi inayowatokea walimu wenzangu.

Hatari sana.mimi ni mwalimu ningeondoka kazi kitu gani kwenye uhai! Bora ileje mlale hawarogi kule wanapiga tu! Halafu yanaisha!
 
Duh,katapika damu lita 10!Hii chibhoko....ebu wataalam mkuje muweke kumbukumbu sawa;BINADAMU ANA KIASI GANI CHA DAMU MWILINI MWAKE?
 
Back
Top Bottom