Mwakikusi Senior Member Jan 14, 2014 100 24 May 26, 2014 #21 Hatari sana.mimi ni mwalimu ningeondoka kazi kitu gani kwenye uhai! Bora ileje mlale hawarogi kule wanapiga tu! Halafu yanaisha!
Hatari sana.mimi ni mwalimu ningeondoka kazi kitu gani kwenye uhai! Bora ileje mlale hawarogi kule wanapiga tu! Halafu yanaisha!
Inside10 JF-Expert Member May 20, 2011 26,060 23,941 May 26, 2014 #22 huko kyela si ndio kwa wainjilisti wa nchi hii.
DZUDZUKU JF-Expert Member Nov 8, 2012 3,907 2,092 May 26, 2014 Thread starter #23 Remote said: huko kyela si ndio kwa wainjilisti wa nchi hii. Click to expand... Au ndio msemo wa "........hakuna wajenzi"
Remote said: huko kyela si ndio kwa wainjilisti wa nchi hii. Click to expand... Au ndio msemo wa "........hakuna wajenzi"
Rugaijamu JF-Expert Member Jul 10, 2010 2,942 1,294 May 26, 2014 #24 Duh,katapika damu lita 10!Hii chibhoko....ebu wataalam mkuje muweke kumbukumbu sawa;BINADAMU ANA KIASI GANI CHA DAMU MWILINI MWAKE?
Duh,katapika damu lita 10!Hii chibhoko....ebu wataalam mkuje muweke kumbukumbu sawa;BINADAMU ANA KIASI GANI CHA DAMU MWILINI MWAKE?
DZUDZUKU JF-Expert Member Nov 8, 2012 3,907 2,092 May 26, 2014 Thread starter #26 Rugaijamu said: Duh,katapika damu lita 10!Hii chibhoko....ebu wataalam mkuje muweke kumbukumbu sawa;BINADAMU ANA KIASI GANI CHA DAMU MWILINI MWAKE? Click to expand... Lita 5/6 kwa mtu mzima mwenye afya.
Rugaijamu said: Duh,katapika damu lita 10!Hii chibhoko....ebu wataalam mkuje muweke kumbukumbu sawa;BINADAMU ANA KIASI GANI CHA DAMU MWILINI MWAKE? Click to expand... Lita 5/6 kwa mtu mzima mwenye afya.