luckyperc
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 495
- 46
Mwakalebela leo kafunguka kuhusu kukatika kwa umeme u/taifa ni hujuma zimefanywa na baadhi ya watu.
Source: radio one
Tukumbuke huyu jamaa amepita sehemu hiyo....
Na ni kwanini ameongea kauli hiyo, anajua kilakitu tumtumie atupe siri ya mambo.
Nawasilisha!
Source: radio one
Tukumbuke huyu jamaa amepita sehemu hiyo....
Na ni kwanini ameongea kauli hiyo, anajua kilakitu tumtumie atupe siri ya mambo.
Nawasilisha!