Hii ni hatari

Hii ni hatari

Huu uzi ntauchangia ki ufasaha baada ya mwezi mtukufu.!
 
cute b ukuje upate shule huku, mie hata sijaelewa.
 
Last edited by a moderator:
Wanawake ni viumbe hatari sana aisee, kama ingewezekana tungewaogopa kama ukoma!!
 
Halafu wakifiksha umri wa kuolewa wanata mume mtulivu, mwenye mapenzi ya dhati, mcha Mungu na vigezo vingine vingi visivyoeleweka wakati wao wenyewe washatumika hadi hawafai
 
Halafu wakifiksha umri wa kuolewa wanata mume mtulivu, mwenye mapenzi ya dhati, mcha Mungu na vigezo vingine vingi visivyoeleweka wakati wao wenyewe washatumika hadi hawafai
kama kabadilika na yuko kwenye msitariii mzuriii atafute mwanaume anaetaka.. akimpata ambadilishe yeye awe atakavyoo.. yeye alikuwa muhuni ambadilishe kwakuwa mabadiliko yanawezekanaa na yeye kabadilika... ila usiweke mashartiii ya kebehiii.. ila kila mtu anastahili kilicho bora...
 
Halafu wakifiksha umri wa kuolewa wanata mume mtulivu, mwenye mapenzi ya dhati, mcha Mungu na vigezo vingine vingi visivyoeleweka wakati wao wenyewe washatumika hadi hawafai

Ile haina expire date, so walaa usihofu, vigezo muhimu hata kuzimu kuna vigezo vya kuingia.
 
"tatizo sio kutesa kila siku, ila pesa ndio kila kitu"
pesa ni kila kitu? ukiwa na pesa ndio utajua pesa sio kila kituuu katika maisha ya binadamuuu.. na pili una akili na nguvu unaweza tafuta zako sio pesa za manyanyaso na lifti au kupewa gari bila leseniii. unajua kapata wapi hizooo pesaaa kama anaua au kuuza viungo vya watu???? je akikutoaa mimba ukakosa watoto utawanunua kwa hiyooo pesaaaa? kama pesa ni kila kituuu kwanini wanawake ambaoo waume zao wako bize na kutafuta pesa wanatoka njeee ya ndoaaa? kwanini mwanaume akikosa nguvu za kiumee unatoka njeee usinunue hizooo nguvuuu? kwa ajili hakuridhishi kimapenziiii.. pesa kilamtu anaweza tafuta na pesa hainunui upendo akiishiwa itakuwajeee... ni kama unajiuzaaa wqakati una nguvuuu tafuta zakooooo/.
 
Back
Top Bottom