khauka
Senior Member
- Jan 26, 2011
- 100
- 4
Habar wana JF...
Kuna hii shule inaitwa Brain Trust Secondary School, P.O.Box 46152 Tel 0754574728 Dar.
Hii shule imeamua kuwatesa watanzania kwa kuamua kubadili mkataba ghafla tofauti na makubaliano ya mwanzo ya malipo ya ada kwa term na badala yake bila kukubaliana na wazazi wameamua kuanzisha utaratibu wa malipo ya mwaka mzima na kuwarudisha watoto wote majumbani. Je wizara ya Elimu wanarijua hili...?
Na ni mzazi gani analipwa mshahara wa mwaka mzima..? ilinae alipe ada ya mtoto ya mwaka. Naomba tusaidiane kulishuhulikia hili swala
Kuna hii shule inaitwa Brain Trust Secondary School, P.O.Box 46152 Tel 0754574728 Dar.
Hii shule imeamua kuwatesa watanzania kwa kuamua kubadili mkataba ghafla tofauti na makubaliano ya mwanzo ya malipo ya ada kwa term na badala yake bila kukubaliana na wazazi wameamua kuanzisha utaratibu wa malipo ya mwaka mzima na kuwarudisha watoto wote majumbani. Je wizara ya Elimu wanarijua hili...?
Na ni mzazi gani analipwa mshahara wa mwaka mzima..? ilinae alipe ada ya mtoto ya mwaka. Naomba tusaidiane kulishuhulikia hili swala