Wewe sema ulienda kujaribu Kwa Yule aliyekwambia anataka mtoto, usitufanye sisi watoto wadogo mbona maelezo hayafungamani😂😂😂 ( am kidding ).Umbwa wewe... Kama ni mimi mabo yangu yasingefika huku.
Jokes aside
Kanieleza anazitumia mke wake hajui coz itakua soo atauliza uti kaitoa wapi
Basi tu wengine hawapendi Amani😂Hivi, niulize wakuu. Kipi hasa kinamfanya mtu apate msukumo wa kucheki afya? Kuumwaumwa? Kupata mpenzi mpya? Kujiridhisha?
Kipi hasa?
KuumwaumwaHivi, niulize wakuu. Kipi hasa kinamfanya mtu apate msukumo wa kucheki afya? Kuumwaumwa? Kupata mpenzi mpya? Kujiridhisha?
Kipi hasa?
Hilo ndo la msingi 👊👊, Lakini unaweza kupotezea tu.. sometimes kufatilia maisha ya watu sio vizuriI wish asingenionyesha hii dawa. Saa tatu leo nitakua nae ngoja nimchimbe tuone atanipa maelezo gani
aseee nimecheka sana
Achana nae tu kama unaona ukakasi, asije aka over react yakawa mengineKafika right now. Sijui nimuulize au vipi
Hivi, niulize wakuu. Kipi hasa kinamfanya mtu apate msukumo wa kucheki afya? Kuumwaumwa? Kupata mpenzi mpya? Kujiridhisha?
Kipi hasa?
Ndiyo UkweliKupiga sana kazi za nje bila gwanda...
Kama Ni hivyo achana naeI wish ningewarekodia audio toka amefika anaongea na madem tu mbalimbali. Anawapanga. Daah
alidhani ww kilaza akakudanganya 🤣So anatumia kutibia UTI kweli?
Duuuh 🤔🤔Naombeni msikilize stor alizokua ananipa... Eti jana tulivyoachana kamkuta dem nje ya fensi la nyumba yake afu kaenda kumla na video kanionyesha. Ni sahihi azitumie duuuh.
Anayeuliza kuhusu condoms ni mimi
Nimemrekod 10mins ago
Vijana tuache umalaya.. Mwamba huyu tayari kimeumana
Daaah mwamba kumbe ndio maana ana afya sana. Japo kifeza yupo vizuri pia.Hiyo ni antiretroviral. Dawa kwa ajili ya kufubaza virusi (HIV)
Kama anaitumia kikamilifu basi mpongeze kuliko kumshangaa ama kumhurumia. Anastahili kupongezwa. Kama anaonekana kutokuwa tayari, basi usimquestion.
Hatua kuu ni kukubaliana na uhalisia na zaidi kuamua kuanza kutumia dawa kikamilifu.
Da'Vinci