Rais kama nia njema anayo, PhD zote zile kutoa report mbovu mara mbili sidhani. Watu wa academics hua nawaheshimu sana maana najua process inavyokwenda hadi kutoa conclusion hua inafanyiwa very careful analysis.
Kupigwa kekundu kweli tulikua tunapigwa vizuri na ni aibu watu wanafanya kazi miaka yote hawakujali kabisa, uzalendo ni zero maana kuna chance kubwa walikua wanahongwa wanatulia.
Tatizo ni Bashite tu, anamuangusha sana mzee na skendo zake.