Bondpost
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 7,098
- 10,609
Basi nae hana moral authority ya kuhoji maana atabidi ahojiwe kwanza ndio ahojiMagu naye alikuwa bungeni na alikuwa ccm,sasa nani amwite nani na nani atoe zawadi
Basi nae hana moral authority ya kuhoji maana atabidi ahojiwe kwanza ndio ahojiMagu naye alikuwa bungeni na alikuwa ccm,sasa nani amwite nani na nani atoe zawadi
Kaazi kwelikweli.alafu leo CCM wanakata viuno kusheherekea matokeo ya upuuzi wao wenyewe.
Ni chama kilichoko kuzimuCCM ni chama cha ajabu kuwahi kutokea duniani.
Haijilish kama wanahuska wawajibishe tu hamn namnMasha, Wenje, Sumaye na Lowasa. Waliipinga hii nakumbuka kabisa, ndio maana tunawaita mashujaawetu leo
Ngoja nikupe namba ya Shukuru umkomeshe.Kwa jinsi nilivyo na hasira ndio maana ikitokea nakutana nabdemu ni shabiki wa ccm namnyweA valuer nimsugue mpaka k ivimbe kama ngumi ili nipunguze hasira..mxxxxx
Hahaha ukimaanisha kazi kweli kweli!Job true true
hebu itafute ile clip tuwaone majambawazi ya lumumba wakiwazomea wapinzani ambao walitoka nnje kupinga mikataba ya madini iliyoletwa kwa hati ya dharula.. nadhani hata huyu POMBE tutamuona wakati huo akipiga makofi na kuzomea wapinzani waliopinga alichokisimamia leoHili lilitendeka chini ya utawala wa CCM
.."Mwaka 1997,bunge letu likipotisha sheria sa hovyo kwa hatinya dharura ,tarehe 26.3.1997 serikali ilipeleka muswada wa sheria mbili na bunge kuzipitisha,serikali ilipeleka mapendekezo ya mabadiliko ya sheria ya kodi iliyofuta kodi zote kwenye sekta ya madini."
Baada ya madini itafuata gesi. Tumuombe Maulana tusifike kwenye 'pangaboi'alafu leo CCM wanakata viuno kusheherekea matokeo ya upuuzi wao wenyewe.
Kesho JPM akiamka na kutangaza kuwa serikali yake imeamua ACACIA wachukue tuu huo mchanga na serikali itakaa na wanasheria wa pande zote kujadili upya mikataba utaona maccm yalivyo, wataandamana kumuunga mkono kuwa ni mtu makini na mzalendo anayewazia kuiepusha nchi na migogoro ya kimataifa.alafu leo CCM wanakata viuno kusheherekea matokeo ya upuuzi wao wenyewe.
Mkuu Mimi ktk kuish kwangu sijawai ona Hawa makijan wanafanya yamaana zaid ya kupiga makofi na ndioooooHili lilitendeka chini ya utawala wa CCM
.."Mwaka 1997,bunge letu likipotisha sheria sa hovyo kwa hatinya dharura ,tarehe 26.3.1997 serikali ilipeleka muswada wa sheria mbili na bunge kuzipitisha,serikali ilipeleka mapendekezo ya mabadiliko ya sheria ya kodi iliyofuta kodi zote kwenye sekta ya madini."
Duh!Ni chama kilichoko kuzimu
inasikitisha na kushangaza sana kama vile hakuna mkono wao kabisa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!alafu leo CCM wanakata viuno kusheherekea matokeo ya upuuzi wao wenyewe.
Hapana CCM ilianza kutawala Tanzania Mwaka 1977. Nyuma ya hapo alikuwa TANU..samahani kwa kukusahihisha..Ni watu wa ajabu.....eti wanajifanya hawajui kwamba tangu nchi ipate Uhuru ilikuwa inaongozwa na ccm na wanachofanya ni muendelezo wa utawala wa ccm!
Umenena haki mwungwana!Mkuu Mimi ktk kuish kwangu sijawai ona Hawa makijan wanafanya yamaana zaid ya kupiga makofi na ndiooooo
Yaani aibu!!hebu itafute ile clip tuwaone majambawazi ya lumumba wakiwazomea wapinzani ambao walitoka nnje kupinga mikataba ya madini iliyoletwa kwa hati ya dharula.. nadhani hata huyu POMBE tutamuona wakati huo akipiga makofi na kuzomea wapinzani waliopinga alichokisimamia leo