Hili lilitendeka chini ya utawala wa CCM
.."Mwaka 1997,bunge letu lilipitisha sheria ya hovyo kwa hati ya dharura ,tarehe 26.3.1997 serikali ilipeleka muswada wa sheria mbili na bunge kuzipitisha,
Serikali ilipeleka mapendekezo ya mabadiliko ya sheria ya kodi iliyofuta kodi zote kwenye sekta ya madini."
.."Mwaka 1997,bunge letu lilipitisha sheria ya hovyo kwa hati ya dharura ,tarehe 26.3.1997 serikali ilipeleka muswada wa sheria mbili na bunge kuzipitisha,
Serikali ilipeleka mapendekezo ya mabadiliko ya sheria ya kodi iliyofuta kodi zote kwenye sekta ya madini."