Tigershark
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 7,051
- 12,560
Kwa msaada wa TCRA sasa tunalipa pesa ile kama zamani ila sasa hatupati kabisa hizo local channels kama zamani!
Walau zamani ukilipia zinakuwepo,kifurushi kikiisha zote zinakata!
Ila ndugu zetu TCRA wameona watusaidie,sasa zimeondolewa na gharama tunalipa ile ile!
Huu ni mpango wa kutulazimisha kuangalia TBC?
Walau zamani ukilipia zinakuwepo,kifurushi kikiisha zote zinakata!
Ila ndugu zetu TCRA wameona watusaidie,sasa zimeondolewa na gharama tunalipa ile ile!
Huu ni mpango wa kutulazimisha kuangalia TBC?