mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 22,327
- 56,071
nyerere alituingiza chaka hapo tatizo ukiongelea ishu za israel watu wataleta mambo ya udini kama faizafoxymkuu Ni kweli kabisa kwa hili la Israel kwa maoni yangu makosa yalifanyika kuwafukuza waisraeli ila nasikia balozi wa Israel nchini Tanzania makazi yake yapo Nairobi sasa sijui ndiyo huyo huyo anawakilisha Israel nchini kenya na Tanzania?
Mataifa makubwa yote duniani wanamuheshimu na kuwa na urafiki na Israel. USA,Russia,France,UK,china,Japan,Germany,eu,Brazil,Canada ,Egypt,sa ,Australia,turkey,etc
Tanzania ibadilike.